DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

MUNGU ENDELEA KUTENDA MIUJIZA ,NAOMBA BABA UMPONYE HARAKA SANA BABA YETU MPENDWA TENA WA PEKEE, Waliompiga lisasi MUNGU kawanyooshe,Ukawaumbue mchana kweupe safe vivo vibaya tena vya mateso,
 
SAWA WANAOTETEA WANYONGE NDIO HAWA WANA PIGWA RISASI KUNYAMAZISHWA ITAKUWA SISI
Mkuu nilazima tujifute matope ya unafiki ktk nyuso zetu.....Tundu lissu ivi anatetea taifa au nayeye anatumika kuliumiza taifa ??? Sindo huyu aliomba tuwekewe vikwazo mpaka zito naye aka mkrash ??????


N.b sishabikii tukio lilompata lissu et sababu ni mpinzani wakila kitu chaserikali... Maana nje yasiasa naye anatwgemewa namkewe.,watoto nandugu.
 
Pia wamagharibi ndio wanaoteka wasanii
Ndio wanaovamia vituo vya habari
Ndio wanaobomolea watu nyumba kinyume cha sheria
Ndio wanaotesa matajiri kisa waliunga mkono wapinzani
Ndio wanaosema watawashughulikia wapinzani
Ndio waliomtolea Nape risasi hadharani
Pia ndio hao hao wanaomkamata Lissu kila siku nakumweka rumande.sasa wamechoka kumkamata kisha anawaumbua mahakamani imebidi waamue kumuuwa kabisa maana mbinu yakumnyamazisha kwakutumia mahakama imeshindikana.
 
Lah! Asante Mungu kwa kumponya Lissu, Mungu Baba mlinde Lissu dhidi ya wanyang'anyi wa nchi yetu.
 
Pole sana Mkuu, sikutegemea hata siku moja kuona nchi yetu inafikia hapa kwa kutaka kumuua mtu ambaye hana hatia yeyote ile zaidi ya kufanya wajibu wake kama raia na mbunge.

Siku chache tu zilizopita Kikwete alitamka hadharani kwamba wapinzani si maadui wa Serikali na leo hii Kamanda Lissu pamoja na kuwa hana hatia yeyote ile walikusudia kumuua!

Siku chache pia zilizopita aliongea hadharani kwamba watu walikuwa wanamfuatilia na gari na namba akaziweka hadharani lakini Serikali haikusema chochote kuhusu tuhuma za Kamanda Lissu.
Kama public figure aina ya lissu,anashambuliwa kwa risasi hadharani,vipi kuhusu sisi? Hii dhima inamuangukia Amiri jeshi mkuu kwa kutengeneza mazingira ya uadui.
 
Mkuu nilazima tujifute matope ya unafiki ktk nyuso zetu.....Tundu lissu ivi anatetea taifa au nayeye anatumika kuliumiza taifa ??? Sindo huyu aliomba tuwekewe vikwazo mpaka zito naye aka mkrash ??????


N.b sishabikii tukio lilompata lissu et sababu ni mpinzani wakila kitu chaserikali... Maana nje yasiasa naye anatwgemewa namkewe.,watoto nandugu.
lisu huwa ni mkweli..na ukweli ndio umemfikisha hapa
 
Ninachompendea Mungu, kila nafsi itaonja mauti, halafu kibaya zaidi, hakuna ajuaye ataondoka lini na kwa style gani.

Hivyo wanaofanya haya ni ujinga wa hali ya juu tu wanafanya kwani huenda zamu yao ikiwadia itaweza kuambatana na kilio cha kusaga meno X 1000 ya hii.
 
Back
Top Bottom