DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Tanzania’s opposition Chief Whip in Parliament Tundu Lissu was Thursday shot by unknown assailants.

Mr Lissu, who is also Chadema’s chief legal counsel, was shot in stomach and leg, Dodoma Chief Regional Medical Officer James Charles said.

Briefing journalists Thursday, Dr Charles said a team of medical experts have been assigned to attend to Mr Lissu.

He said they will issue a report to relevant authorities in the due course but Mr Lissu is in stable condition.

Regional Police Commander Gilles Muroto said they have launched investigations into the shooting but preliminary reports show that people who attacked Mr Lissu were in a white Nissan vehicle.

Dodoma Regional Commissioner Jodarn Rugimbana said they have banned any gatherings in Dodoma Municipal.

“We also don’t want people to go to the hospital because the area is too small to accommodate many people.

“People should stay calm, go on with their activities and we will inform them if there is any development,” he said.

In the meantime, Chadema party has issued a statement condemning the attack.

“Chadema has received with great shock the report on the shooting of the Party chief legal counsel who is also Opposition Chief Whip in Parliament and Singida East MP, Tundu Antipus Lissu,” reads part of the statement.
 
Mara nyingi mtekelezaji au mtoa order huwa mstari wa mbele baada ya tukio kupoteza mwelekeo.
Mfano hii mawaziri, spika, naibu, katibu wa wizara ya afya ambaye ni bingwa wa usingizi ( sijui alitaka kumlaza daima, nawazatu) na wengine kuigiza kumthamini muathirika.
 
Pole sana Mhe.Tundu Lissu. Mungu ameamua uwe hai ,utakuwa hai, na naamini utapona ksb yote yanawezekana ksb Mungu yupo pamoja nawe.
Nakutakia matibabu mema, watanzania wengi tunakuombea,tunakuhitaji sana.
Mungu akulinde na akuponye. Pole sana Mhe. Tundu Lissu, fahamu kuwa wewe ni shujaa.
 
Mnafiki no 1 wa Lumumba wewee..
Threads nyingi za chuki kwa Lissu umezifungua wewe hapa JF..
Maombi ya kinafiki huku ukweli unaujua.
 
Tuliza jazba kijana acha kumchafua rain wetu hawezi kufanya ujinga huo
Kweli kabisa waache kumchafua Rais. Rais wetu hahitaji cheap popularity kama hiyo. Kama ni kumwondoa Lissu sio kwa njia hiyo, angalia hata risasi zilivyopigwa inaonekana dhahiri kitendo kimefanywa na mtu/watu ambao hawana shabaha, hawana ujuzi wa hazi hiyo ndio maana wamepiga nyingi kwa woga woga tu. Watu acheni Jazba mwacheni Rais na vyhombo vya dola vifanye kazi. Mtakuja umbuka na jazba zetu. Rais tunakupenda, chapa kazi, hao wanaotaka kukupaka matope wataumbuka.
 
Mungu mwenyewe ana upinzani wa Shetani na bado anauvumilia itakuwa hili lijamaa, huwezi kulazimisha watu wote walingane mawazo na wewe hata mke wako au mtoto wako hawezi kulingana na wewe kwa kuwaza
 
Nategemea leo cdm wakiitisha press jambo la msingi tuingie tu mtaani tupinge huuu uhuni wa serikali...
Na tuingie mtaani tuonyeshe hisia zetu...ili uuuuu uhuni usijirudie tena!!...
Kuandamanda ni haki yetu raia kikatiba
 
Huko huko hosptali ndio tamaliziwa vizuri...

but nahisi hii ni kiki ya CHADEMA baada ya kuona Magufuli kawafunik na issue ya report ya bunge
kawafunika kuwasuta ccm wenzake ?
mbona hata yeye wakimsuta atawapima mkojo..
kugawa nyumba zetu hadi kwa mpwa wake ambaye sasahivi ni katibu mkuu anayeidhinisha naye kodi zetu wapendavyo..
kile kivuko kibovu cha mv dar es salaam alichopiga dili mungu anamuona !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoa pole pekee siyo issue maana Hata wachawi hutoa pole [emoji108][emoji108]
Na wachawi huwa wapo hapohapo eneo la tukio, na huwa wa kwanza kutoa pole, hapo mkulu anatamani angekuwa anatoa salamu za rambirambi ila ndo hivyo ashafeli! cha msingi atubu dhambi zake kwa Mungu.
 
Namwombea Uzima Lisu na Ulinzi kwa wazalendo wengine wasimamao kwa haki za Watanzania.

Ninaomba kufahamishwa kutoka kwa wanaomfahamu PK.

Naye huwa anatoa matamko baada ya kuangamiza wanaomchallenge?

Kisha huwa anadhibiti media na watu wengine wanaotaka kufanya lolote kuonyesha hisia za uchungu walionao?

Vipi labda kuhusu mikusanyiko ya wapaza sauti? Huwa inaaruhusiwa kule?

Naomba kujua kwa ufahamu tu kwa kuwa tuko katika utandawazi.
Let's be serious,taifa la walalamikaji. Mambo yetu bado no magumu mbona tunashupaza shingo kwa mambo ya majirani? Mara PK mara UJK, hii hali yetu tunapambana nayo vipi jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu @thebold tupe theory ya washukiwa wanaweza kuwa nani
 
Back
Top Bottom