Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Daah kwa kweli sijui ni mimi tu au kuna wengine wamepatwa na hali ya wasiwasi kama mimi.
Ni kwamba hivi sasa nafsi na akili haijatulia kabisa, nimejikuta nikimlilia sana kwa uchungu huyu kamanda wetu aliye Nairobi hospital!
Nimekumbuka mengi na umahiri wake, nimetafuta clips zake kadhaa na kuziangalia nikajikuta nimepata majonzi makubwa!
Nimeangalia hata baadhi ya mahojiano aliyokuwa akiyafanya mahakamani pale alipokuwa akiwatetea wateja wake au kujitetea mwenyewe na kuona jinsi alivyokuwa akiuliza maswali ya nguvu daah![emoji18][emoji18]...
Hicho kikombe alichokibeba sijui atakiepukaje...[emoji120][emoji120]
Ee Mwenyezi Mungu mponye mtumishi wako huyu nao wale watesi wake watambue hakika dhuluma haiwezi kuishinda haki!
[emoji120][emoji120]
Ni kwamba hivi sasa nafsi na akili haijatulia kabisa, nimejikuta nikimlilia sana kwa uchungu huyu kamanda wetu aliye Nairobi hospital!
Nimekumbuka mengi na umahiri wake, nimetafuta clips zake kadhaa na kuziangalia nikajikuta nimepata majonzi makubwa!
Nimeangalia hata baadhi ya mahojiano aliyokuwa akiyafanya mahakamani pale alipokuwa akiwatetea wateja wake au kujitetea mwenyewe na kuona jinsi alivyokuwa akiuliza maswali ya nguvu daah![emoji18][emoji18]...
Hicho kikombe alichokibeba sijui atakiepukaje...[emoji120][emoji120]
Ee Mwenyezi Mungu mponye mtumishi wako huyu nao wale watesi wake watambue hakika dhuluma haiwezi kuishinda haki!
[emoji120][emoji120]