Zipo September seven nyingi za watanzania wenzetu.
1. Sept 7 ya Akwilina kupigwa risasi na watu wanaojulikana.
2. Sept 7 ya Wanafunzi wa UDOM kuondolewa chuoni.eti ni vilaza ,
3. Sept 7 ya watu kufariki kwa moto wakichota mafuta sababu ya ugumu wa maisha Morogoro
4. Sept 7 ya Membe kufukuzwa uanachama CCM.
5. Sept 7 ya watumishi kufukuzwa kazi kwa vyeti feki na kukosa michango yote waliyochangia.
6. Sept 7 ya wakulima wa korosho huko kusini kukosa malipo yao kwa wakati.
7. Sept 7ya waliombomolewa nyumba zao bila kufidiwa kwa kujenga kando mwa barabara.
8. Sept 7 ya watumishi wakopwaji wa loan board kukatwa 15% badala ya 8% kama mikataba inavvyosema.
9. Sept 7 ya watumishi kukosa kupandishwa madaraja, nyongeza ya kila mwaka ya mshahara na malipo mengine kama likizo.
10. Sept 7 ya vijana wanaoshindwa kuendelea na elimu ya juu kwa kukosa mikopo.
11. Sept 7 ya wafanyabiashara waliofungiwa biashara zao na TRA kwa kushindwa makadilio makubwa.
12. Sept 7 ya wahitimu vyuo wanaosota mitaani kwa kukosa ajira.
13. Sept 7 ya wagonjwa wanaokosa matibabu kwa kushindwa kulipia ghalama za matibabu.
14. Sept 7 ya watumishi ya serikali kukosa mishahara yao ya mwezi 7 na 8 kwa kugombea ubunge tena CCM ili wafikishe CV kwa mheshimiwa wafikiriwe ktk teuzi.
15. Sept 7 ya waliokatwa kugombea ubunge licha ya kushinda katika kura ya maoni CCM na CHADEMA.
16. Sept 7 ya wapinzani waliokatwa na NEC kugombea udiwani na ubunge.
17. Sept 7 ya wafanyabiashara kulazimishwa kuwakopa wabunge kama sakata la MO na Dr. Kigwa.
18. Sept 7 ya watu kubambikiziwa kesi za utakatishaji fedha.
19. Sept 7 ya wanafunzi kusomea katika mazingira yasiyo rafiki kujifunzia kama shule za kata. Huku wengine wakisoma shule maalumu na bora.
20. Sept 7 ya watanzania kujaa hofu, woga, kukosa uhuru na haki ya kukosoa.
1. Sept 7 ya Akwilina kupigwa risasi na watu wanaojulikana.
2. Sept 7 ya Wanafunzi wa UDOM kuondolewa chuoni.eti ni vilaza ,
3. Sept 7 ya watu kufariki kwa moto wakichota mafuta sababu ya ugumu wa maisha Morogoro
4. Sept 7 ya Membe kufukuzwa uanachama CCM.
5. Sept 7 ya watumishi kufukuzwa kazi kwa vyeti feki na kukosa michango yote waliyochangia.
6. Sept 7 ya wakulima wa korosho huko kusini kukosa malipo yao kwa wakati.
7. Sept 7ya waliombomolewa nyumba zao bila kufidiwa kwa kujenga kando mwa barabara.
8. Sept 7 ya watumishi wakopwaji wa loan board kukatwa 15% badala ya 8% kama mikataba inavvyosema.
9. Sept 7 ya watumishi kukosa kupandishwa madaraja, nyongeza ya kila mwaka ya mshahara na malipo mengine kama likizo.
10. Sept 7 ya vijana wanaoshindwa kuendelea na elimu ya juu kwa kukosa mikopo.
11. Sept 7 ya wafanyabiashara waliofungiwa biashara zao na TRA kwa kushindwa makadilio makubwa.
12. Sept 7 ya wahitimu vyuo wanaosota mitaani kwa kukosa ajira.
13. Sept 7 ya wagonjwa wanaokosa matibabu kwa kushindwa kulipia ghalama za matibabu.
14. Sept 7 ya watumishi ya serikali kukosa mishahara yao ya mwezi 7 na 8 kwa kugombea ubunge tena CCM ili wafikishe CV kwa mheshimiwa wafikiriwe ktk teuzi.
15. Sept 7 ya waliokatwa kugombea ubunge licha ya kushinda katika kura ya maoni CCM na CHADEMA.
16. Sept 7 ya wapinzani waliokatwa na NEC kugombea udiwani na ubunge.
17. Sept 7 ya wafanyabiashara kulazimishwa kuwakopa wabunge kama sakata la MO na Dr. Kigwa.
18. Sept 7 ya watu kubambikiziwa kesi za utakatishaji fedha.
19. Sept 7 ya wanafunzi kusomea katika mazingira yasiyo rafiki kujifunzia kama shule za kata. Huku wengine wakisoma shule maalumu na bora.
20. Sept 7 ya watanzania kujaa hofu, woga, kukosa uhuru na haki ya kukosoa.