At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Hayupo.Naanza;
Leo ni miaka 3 kamili tokea shambulio la aibu na kikatili litokee pale Bungeni Dodoma dhidi ya Mbunge wa Singida mashariki na mgombea Urais wa sasa Tundu Lissu.
Pamoja na mengi yanayosemwa, Namshukuru Mungu kwa ukuu wake na kwa maisha ya Lissu. Pengine ana makusudio yake kwa Lissu na nchi yetu. Jee alitakalo Mungu kuna wakuzuia?
Ila sio uliwazalo.