Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anaendelea kuwepo.Ile mihuni na kiongozi wao wanaweweseka kama nguchiro.Ni takribani miaka 7 leo imetimia tangu TAL ashambuliwe kwa risasi na genge la "Mkolomije".
Alisema wanajiteka/drama.🤔🤔Yamerudi ya Magufuli. Ya Sativa yanasikitisha sana. Halafu Samia hatoi neno na msikitini anakwenda
Uchunguzi wa hili tukio la kihalifu bado ni kitendawiliNi takribani miaka 7 leo imetimia tangu TAL ashambuliwe kwa risasi na genge la "Mkolomije".
Samia hahitaji Credit yoyote zaidi ya kuuza rasilimali zote za Tanganyika na kuteka viongozi wa ChademaMoja kati ya vitu ambavyo Samia angejipatia "credit " kwa kujitofautisha na kuonyesha serikali haikuwa na mkono wake kwenye hili tukio basi ilikuwa ni washambulizi kupatikana na kufunguliwa mashtaka.
Lakini hadi leo hakuna CCTV footage, maganda ya risasi, na forensic evidence yoyote kuhusu tukio hili.
Badala yake hata Lissu stahiki zake hakulipwa miaka 7 sasa badala yake anatumwa Abdul kwenda kumuhonga akae kimya.
Haswaaaaa!Mhusika anajulikana
Tanzania ina intelijensia kali SANA
Tanzania ina intelijensia kali sana kumbe ni intelijensia ya kudukua mawasiliano ya watu.Hivi kama kampuni kubwa kama Tigo inauza data za watumiaji je nyie Jamii forum tutawaamini kweli??????????????
Kitu ambacho Watu wengi Sana hapa tz hawakijui ni kwamba haya makampuni ya simu baadhi ya wamiliki wake (shareholders) ni mawakala wa siri(Active Members) wa wale jamaa wa pale makumvusho.Kuchunguza zaidi Tigo wanahusika
Hatari sanaKitu ambacho Watu wengi Sana hapa tz ni kwamba haya makampuni ya simu baadhi ya wamiliki wake (shareholders) ni mawakala wa siri(Active Members) wa wale jamaa wa pale makumvusho.