Dodoma: Ufunguzi wa Bunge la 12, Ndugai asema Bunge hilo halitakuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani

Huyu dada wa CHADEMA hajitambui kabisa. Anachotaka ni hela ambayo licha ya kuwa ataipata lakini atakuwa mtumwa mkubwa wa kifikra ndani ya bunge.. Kwa akili yake alifikiri atakuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni. Tormentation inaendelea....
Ndio maana waliamua kumleta kukaa nao kwenye bunge la POMBE. Nadhani angehamia kabisa hata kwenye chama cha POMBE, Ndugai atasimamia.
 
Tanzania yazidi kwenda kombo
 
Kwanini bunge lisivunjwe kuwe na kikao cha CCM tu Aida kiherehere anaalikwa basi
 
Sawa tumepokea tahalifa, Mambo mengi mda mchache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…