Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdee lazima ashinde anakula sana yule dadaSalamu, wakuu .
Baadaye ya kuumiza vichwa na mijadala ya mizito ya kuitoa Tanzania kwenye Lindi la umaskini ,Leo Wabunge wanafanya bonanza la kushindana kula Ubwabwa na maarage! Stay tuned tuone nani Mshindi!
Wanatuchukulia poa sana Watanzani subiri mwezi wa Saba watajua hawajui.
TanTrade, Iran wakubaliana mema zaidi biashara na uwekezaji | TanTrade, Iran wakubaliana mema zaidi biashara na uwekezaji
Ubwabwa ni chakula cha kawaida sana. Wewe inakuuma wabunge kula ubwabwa?
TanTrade, Iran wakubaliana mema zaidi biashara na uwekezaji | TanTrade, Iran wakubaliana mema zaidi biashara na uwekezajiUbwabwa ni chakula cha kawaida sana. Wewe inakuuma wabunge kula ubwabwa?
Alafu wapi imepitishwa Bandari ziuzwe?
Utawafanyeje utawaroga?Wanatuchukulia poa sana Watanzani subiri mwezi wa Saba watajua hawajui.
Ni michezo kama michezo mingine.
Wanatuchukulia poa sana Watanzani subiri mwezi wa Saba watajua hawajui.
Video iko wapiBunge kwa kushirikiana na CRDB wamefanya mashindano ya Michezo mbalimbali huku ubunifu mkubwa ukiwa Kwenye Shindano la Kula Ubwabwa
Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais Dr Mpango aliyesindikizwa na Spika Tulia na Waziri mkuu mh Majaliwa
Wabunge walioshindana Kula Ubwabwa wameonekana kuufurahia sana mchezo Huo
Source: Clouds
Sabato Njema Watanganyika!