Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapi hapo Jo?Salamu Wakuu,
Baadaye ya kuumiza vichwa na mijadala ya mizito ya kuitoa Tanzania kwenye Lindi la umaskini, leo Wabunge wanafanya bonanza la kushindana kula Ubwabwa na maharage!
View attachment 2667356View attachment 2667357View attachment 2667359View attachment 2667358
🤣🤣🤣🤣Sijui kwann hawajakabwa na huo ubwabwa vil.za wakubwa hao
🤣🤣Sijui kama wanakumbuka hata kukumbukaWamejisahau
Ahahahhahaha nchi ngumu sana hii mkuuWanatuchukulia poa sana Watanzani subiri mwezi wa Saba watajua hawajui.
😄😄😄😄😄Ndo kaz tulowatuma ssSalamu Wakuu,
Baadaye ya kuumiza vichwa na mijadala ya mizito ya kuitoa Tanzania kwenye Lindi la umaskini, leo Wabunge wanafanya bonanza la kushindana kula Ubwabwa na maharage!
View attachment 2667356View attachment 2667357View attachment 2667359View attachment 2667358
Tukumbuke hawa ni binadamu kama Sisi na wana maisha yetuyni kmmmk hii nchi 😪
Tukumbuke hawa ni binadamu kama Sisi na wana maisha yetu
Sio shida Kama nao wanakua na vipindi vya michezo na mambo Mengine ya jamii
Tunataka watu wawe watumwa sasa
Ukweli wamerogwa kabisaaaa!!!Salamu Wakuu,
Baadaye ya kuumiza vichwa na mijadala ya mizito ya kuitoa Tanzania kwenye Lindi la umaskini, leo Wabunge wanafanya bonanza la kushindana kula Ubwabwa na maharage!
View attachment 2667356View attachment 2667357View attachment 2667359View attachment 2667358
Ebwanawe, ulijuaje
Hashimu Rungwe uko wapi!?Salamu Wakuu,
Baadaye ya kuumiza vichwa na mijadala ya mizito ya kuitoa Tanzania kwenye Lindi la umaskini, leo Wabunge wanafanya bonanza la kushindana kula Ubwabwa na maharage!
Tumerogwa si bure!!!Halafu wananchi wenyewe wanashindia mlo na hao viongozi awaoni shida.