Lisu na yeye hakuwa na mtaji wa watu Wala ushawishi wa kisiasa!?Kitu ambacho Polepole hakijui ni HANA MTAJI WA WATU wala USHAWISHI WA KISIASA.
Serikali haiwezi kumuandama mtu asiye na madhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu na yeye hakuwa na mtaji wa watu Wala ushawishi wa kisiasa!?Kitu ambacho Polepole hakijui ni HANA MTAJI WA WATU wala USHAWISHI WA KISIASA.
Usiwe mjinga, watu wanatafuta Siri zake ili wamfunge mdomo!nchi ina utoto mwingi sana hii, huu ni utoto tu kama utoto mwingine....wenye shida na Polepole kama kweli wana shida naye hawawezi kuwa wapumbavu kiasi hicho...
Kama shida ni kumtisha zipo namna nyingi na very smart na inakuwa kitisho kweli kuliko huo utoto...kama ilikuwa shida kuja kumdhuru nao ni utoto maana zipo namna nyingi very smart za kumdhuru...
Acha ujinga, Polepole ni CCM, na hawana uhakika Ana Siri zipi kwenye documents zake kutoka kwenye CCM ya JPM.Utakuwa ni upumbavu wa hali ya juu kumuamini huyo kikaragosi. Katika kujitafutia umaarufu na kutajwa, ameamua aje na hili labda litamtoa. Hakuna wa kushughulika na huyo bwege kwa upande wa serikali
Mheshimiwa kumbe analo gitaa [emoji44]Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
Mtazamo wako wa maisha Bora ni kulindwa, wengine tunaamini ktk maisha huru!Mtu kama Polepole ameshindwa kuweka Mlinzi/Security guard nyumbani kwake na ubunge na uenezi wote ule!
Basi siasa hailipi jameni.
Sawa sawa kabisa hiyo ndiyo dawa ya msaliti wa wananchi.Mambo yalishaanza kuwa mambo, Muda ni wakati
Wazee wamesepa na laptop ya shule ya uongozi...
Wacha wateseke maana walitutesa sana kipindi cha Mungu waoWakitumaliza Sisi wataanza na Nyie.Lisu
Tatizo kuna watu kama kina Polepole waliokuwa wananufaika na mfumo uliokuwepoHii Tanzania bila kuiondoa CCM madarakani hakuna aliye salama.
Kama wao kwa wao wanatendeana hivyo..vipi kwa mtu baki!?
Watanzania tuamke sasa. Kama Sudani N. na kwingineko wameweza sisi tunashindwa nini?
Sebule ni nini?Hapo ni nyumbani au chumbani kwako?!
Maana naona kitanda na sebule viko pamoja!
Nature inafanya kazi yake sasa.wameiba kura lakini nature hawawezi kuiba.muda sio mrefu chama kitameguka hatimae kufa kabisa.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Utajua mwenyewe nachosema huyo mhuni Polepole kavumiliwa Sana , aendelee aone moto..Kwani Bashite yuko mjini?
Ni sebule!Sebule ni nini?
Point of No return!CCM wako pazuri kuelekea hatima yao.
Na ile ky ni ya nini?Karma is a bitch .
Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea ,kina lissu wanapigwa risasi anaona poa .
Ni funzo kubwa ,alisema kwa kejeli Lissu anakaa na bwana zake kakimbia nchi ,Mbowe alivunjwa mguu akasema alikuwa amelewa faru John akaanguka . Hata kama ni serious kweli sisi tunasema umelewa Double Kick ukavuruga sebule ili useme umevamiwa.
Wewe ni jinga sana, atobolewe macho?Yeye Polepole wakati akiwa na kiburi kwenye utawala wa kidhalimu wa Magufuli alikuwa anajibu kwa hoja? Tena alitakiwa akamatwe atobolewe macho na hao majizi wenzake wa CCM, hii itamsaidia kuvuna matunda ya siasa chafu alizopandikiza yeye na Magufuli.
Hapo ni chumbani ni ofisini ni sebuleni ni kila kitu(kwa mtizamo wangu).Karma is a bitch .
Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea ,kina lissu wanapigwa risasi anaona poa...