Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Ngumu kumeza, sema wamemuibiwa tv yake bhanaBhita ni bhita muraaaah. Hii ni chaye ama lanche?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngumu kumeza, sema wamemuibiwa tv yake bhanaBhita ni bhita muraaaah. Hii ni chaye ama lanche?
CCM wako pazuri kuelekea hatima yao.
Wanapiga watu risasi na kuwapa kesi za uchocheziWahuni bhana, hawawezi kushindana kwa hoja. [emoji23]
Mbona Lissu hamkutoa wito ajibiwe kwa hoja?WASIOJULIKANA BADO WAPO TU? Si mlisema walikuwa watu wa Magufuli!!!! This is government intimidation ambayo serikali yenyewe inapaswa kukalipia. Mjibuni Polepole kwa hoja na sio vitisho kwani halo matando menu yanaweza kuja kuwarudia na nyinyi pia kama yanavyomrudia Polepole!!!
Ngumu kumeza, sema wamemuibiwa tv yake bhana
Mkuu mimi nipo huku kwetu kanyabwoyaaaa ....sijui kwa kweliKwani Polepole bado ni mseja? Hapo nyumbani hawakukuta hata katoto kadogo na kasichana ka kazi?
Dhamani [emoji777]Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
WASIOJULIKANA BADO WAPO TU? Si mlisema walikuwa watu wa Magufuli!!!! This is government intimidation ambayo serikali yenyewe inapaswa kukalipia. Mjibuni Polepole kwa hoja na sio vitisho kwani hayo matendo yenu yanaweza kuja kuwarudia na nyinyi pia kama yanavyomrudia Polepole!!!