Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni tukio la kutengeneza
sisi matabibu wa lugha tuna msemo wetuDhamani [emoji777]
Thamani [emoji3581]
Hivi ni haujui kuandika au unakosea kusudi. Me nakerekwa na watu wanaoandika kwa kukosea makusudi. [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
pia sio wa kumwamini anaweza akavuruga sebule halafu akasema amevamiwaMaza hataki kukosolewa na viroboto
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
Wamnyooshe tuu kwa nini wanamchekea? Sio sahihi kuleta demokrasia kwa wajinga .Wajinga wanaenda kwa mijeredi .Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
Upambe nuksi sana na hapa inabidi tujifunze kitu mama Samia hawezi kutuma watu kufanya upuuzi wa aina hiyo.
Ata kwa Magufuli ilikuwa ivyo ivyo mambo mengine ni wapambe tu; hawa watu ogopa.
Zaidi ya kuona vitu kukosa mpangilio, Picha hii haisemi lolote. Labda aweke picha ya kabla na baada ya wizi.
Polepole usituletee drama hapa yaani asubuhi uondoke uende mishe zako usitandike wala kupanga ghetto kwako vizuri unarudi jioni unajifanya eti umeibiwa sijui umevamiwa.. achanga unaniliu
Hakuna kitu hapa ni sawa na kipindi cha Membe na Nape walivyonyoshewa bastola so usijifariji.CCM wako pazuri kuelekea hatima yao.
hawa ndio wahuni waliomdhuru lissu piaWahuni bhana, hawawezi kushindana kwa hoja. 😂
Sasa na hapa unataka kusema hao watu wametumwa na Samia?Magufuli ndio aliyesimika siasa hizo za kishenzi, na Polepole akabariki uhayawani ule. Acha aonyeshwe makali ya siasa za kishenzi na washenzi wenzake.
Breaking news nyingine za kijinga sana inatuhusuni nini peleka huko ujinga wenu.Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847