Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Yaliyokuwa yanatendeka kipindi cha Magufuli aliona poa sasahivi anamkumbuka Mungu. Jamn ni kweli yawezekana tunatafuta utajiri lkn hata hao wakina Mkapa hawakuweza ht kula 10% ya walichokusanya. Ukiona uongozi uliopita ulikufurahisha jua kwamba wapo waliohuzunika kwa hyo inapobadilika jikaze
Wahuni ndio waliokuwa wanayatenda haya sasa wanajidhihirisha rasmi
 
Sasa na hapa unataka kusema hao watu wametumwa na Samia?

Kuna watu huwa wanafanya vitu kwa maslahi yao binafsi tu bila ya baraka za viongozi.

Nani atawatuma zaidi yake? Hivi boss unadhani sisi ni wajinga hatujui lolote? Kama uhalifu wa kiongozi wa juu hauna baraka za rais lazima uchunguzi wa kina ufanyike. Lakini ukiona uhalifu wowote unafanyika dhidi ya kiongozi mkosoaji wa serikali na kusichukuliwe hatua stahiki, basi kuna baraka zote za rais. Hii kubali kataa lakini habari ndio hiyo.
 
Hamna uharibifu au kitu chochote kilichoibiwa hapo. Anatafuta huruma kwa watu tu huyo. Hana lolote, useless kabisa
 
Polepole anapaswa ajikaze, lile kundi la wahanga wa Magufuli wanaonekana kujipanga, nimemsikia mzee mwingine leo kajitokeza.

Anapaswa akubali matokeo mbaya zaidi ameahidi kuwaanika baadhi yao, so hii inaweza kuwa wanamuwahi kumnyamazisha ili asianike siri zao

Ni hatari sana.
Tena mwambie awahi huko polisi na hili ni onyo tuu.
 
Karma is a bitch .

Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea ,kina lissu wanaopigwa risasi anaona poa .

Ni funzo kubwa ,alisema kwa kejeli Lissu anakaa na bwana zake kakimbia nchi ,bila shaka kwa mda huu akili zinaanza kumkaa
You mean yeye ataolewa na familia yake kabisa
 
nchi ina utoto mwingi sana hii, huu ni utoto tu kama utoto mwingine....wenye shida na Polepole kama kweli wana shida naye hawawezi kuwa wapumbavu kiasi hicho...

Kama shida ni kumtisha zipo namna nyingi na very smart na inakuwa kitisho kweli kuliko huo utoto...kama ilikuwa shida kuja kumdhuru nao ni utoto maana zipo namna nyingi very smart za kumdhuru...
 
Utakuwa ni upumbavu wa hali ya juu kumuamini huyo kikaragosi. Katika kujitafutia umaarufu na kutajwa, ameamua aje na hili labda litamtoa. Hakuna wa kushughulika na huyo bwege kwa upande wa serikali
 
Back
Top Bottom