Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Kwa mtu ambaye anaweza kuona vitu " behind the scene " kupitia chumba ambacho wengine wamepaita nyumbani kwa Polepole wanaweza sasa kujua chanzo cha frustration ya Polepole!

Kila mtu mwenye mapenzi mema na Nchi yetu aliumizwa sana na kifo cha ghafla cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais wetu!

Lakini ukweli in kwamba wapo walioumizwa na kifo kile kutokana na maslahi binafsi waliyokuwa nayo chini ya uongozi wa Rais Magufuli.

Watu hao wengi wanajulikana kama akina Paulo Makonda, Sabaya, Cyprian Musiba, Bashiru ,Chalamila,Polepole n.k.
Hawa WALIJISAHAU wakajua Rais Magufuli atatawala milele!

Mwenyezi Mungu ndiye mwenye mipango yote na hivyo ni busara kwa vijana mnaopata kuaminiwa na kupewa nafasi basi nendeni kwa unyenyekevu kwani hakuna aijuaye kesho!

Polepole na wapambe wako wanaokudanganya tulieni, mwacheni Rais Samia aongoze Nchi katika hii AWAMU YAKE YA 6.
 
Siooo poaaaa kabisaa
Kwa mtu ambaye anaweza kuona vitu " behind the scene " kupitia chumba ambacho wengine wamepaita nyumbani kwa Polepole wanaweza sasa kujua chanzo cha frustration ya Polepole!

Kila mtu mwenye mapenzi mema na Nchi yetu aliumizwa sana na kifo cha ghafla cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais wetu!

Lakini ukweli in kwamba wapo walioumizwa na kifo kile kutokana na maslahi binafsi waliyokuwa nayo chini ya uongozi wa Rais Magufuli.

Watu hao wengi wanajulikana kama akina Paulo Makonda, Sabaya, Cyprian Musiba, Bashiru ,Chalamila,Polepole n.k.
Hawa WALIJISAHAU wakajua Rais Magufuli atatawala milele!

Mwenyezi Mungu ndiye mwenye mipango yote na hivyo ni busara kwa vijana mnaopata kuaminiwa na kupewa nafasi basi nendeni kwa unyenyekevu kwani hakuna aijuaye kesho!

Polepole na wapambe wako wanaokudanganya tulieni, mwacheni Rais Samia aongoze Nchi katika hii AWAMU YAKE YA 6.
Polepole Nd anakaa paleeeee
 
Polepole huwa anajidai kama Nyerere wa sasa. Hata kuongea anamuiga Nyerere
 
Lakini ukweli in kwamba wapo walioumizwa na kifo kile kutokana na maslahi binafsi
2773061_FB_IMG_1620925066257.jpg

Wengi wao ni Majambazi.
 
Never underestimate the power of intelligence, huwezi jua nini kinaendelea.
Siku msipotimiza mliowaahidi Wayahudi watawadondosha kama walivyowaingiza, hakuna jipya hapa Duniani, kwani mna wakati mgumu sana kutimiza masharti ambayo ni unpopular kwa Watanzania, mnaenda anguka kama mlivyoingia.
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Anaishi bila familia?

Mtu kama yeye anajua yupo vulnurable na lazima ana walinzi.

Humphrey acha kufanya uenezi kwenye maisha ya kawaida
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Hivi huyu Polepole ana familia? Hiki chumba ni kama cha mtu aliyeko kwenye masomo nchi za watu. Watoto na mke wake wakimtembelea wanalalal wapi? Kweli hela zote alizopata hajajenga nyumba yake kisasa au hata iyumbu?
 
Jamaa ajaribu jina jipya " quick slow" labda linaweza kum boost " slow slow" nyota yake imeyeyuka.
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Anaishi peke yake
Hana ulinzi
Hana majirani
Hana hata cctv camera
 
Back
Top Bottom