Raia - JMT
Senior Member
- Jun 23, 2024
- 121
- 112
- Thread starter
- #21
Kwanini usijibu kama liko wazi?Mbona tangazo liko wazi kabisa halafu unakuja kuuliza ushuzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usijibu kama liko wazi?Mbona tangazo liko wazi kabisa halafu unakuja kuuliza ushuzi?
Tatizo la masiki kuwachukia waliopata na wakila bia mnasema ni matumizi mabaya ya pesa kumbe wewe huna😄
Bora huyo pm kawaambia muda wa kuanza kwa umaskini na bila shaka atawaambia na .mwisho wake. Sisi hatujaambiwa na hayupo wa kutuambia, ni umaskini automatic.Fedha iko wapi Bwashee?
Hapo UK yule PM Steamer kawaambia kuanzia October maisha ya waingereza yatakuwa magumu sana hivyo wajiandae Kisaikolojia 😀😀
Mwigulu ni akili kubwa sana hapa Tanzania ikisaidiwa na Kafulila hiyo chemistry ni balaaNini dhima ya Dkt Mwigulu Nchemba waziri wa fedha na David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia kukusanya Viongozi wote hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Mwigulu ni akili kubwa sana hapa Tanzania ikisaidiwa na Kafulila hiyo chemistry ni balaa
Kwahiyo Tumbiri ana ajenda ya kumfunika Prof Kitila? 😂😂😂Mwigulu ni akili kubwa sana hapa Tanzania ikisaidiwa na Kafulila hiyo chemistry ni balaa
Mwigulu mwamba sana ngoja tuone kuhusu hii seminaNini dhima ya Dkt Mwigulu Nchemba waziri wa fedha na David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia kukusanya Viongozi wote hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Tumbili na PPP naona ndio habari ya mjini Tanzania😄😄Kwahiyo Tumbiri ana ajenda ya kumfunika Prof Kitila? 😂😂😂
Ajiangalie CCM hawatakagi Watu Wenye vimbelembeleTumbili na PPP naona ndio habari ya mjini Tanzania😄😄
Kwa hili nakuunga mkono Mwigulu na Kafulila Hawa Viongozi wa huku chini hawajui kabisa kuhusu PPPNini dhima ya Dkt Mwigulu Nchemba waziri wa fedha na David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia kukusanya Viongozi wote hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Ilitakiwa kazi za serikali zisitishwe mpk uchaguzi uishe?Kisomo cha wizi wa kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa
Hapati urais, anajua Vatican protocol?Huyu ndie Rais wa JMT 2030 na hii ni mipango kuelekea huko
Mwigulu safi sana kwenye hiiNini dhima ya Dkt Mwigulu Nchemba waziri wa fedha na David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia kukusanya Viongozi wote hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Akina nani?Bahati mbaya hawa wanaotaka uraisi wote ni wababaishaji sana
Kodi zipi?😄😄Ni kodi tu
Kazi mnayo
Kazini kwao Kuna kaziJe, nini dhima ya Mhe Dkt Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP kuwakusanya Viongozi hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Anajipalilia njiaJe, nini dhima ya Mhe Dkt Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP kuwakusanya Viongozi hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Kodi ya kichwaKodi zipi?😄😄