Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Kuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu kazi ipoKisomo cha wizi wa kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa
😀😀😀Kuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana.
Utajiri unaotokea kwenye Ofisi za Umma ni Utajiri Haramu !Tatizo masikini wanachukia sana matajiri,
Omba Mungu na wewe ipo siku yako utatoboa tu
Kama ni hivyo sehemu nyingi zenye miradi ya mabilini kwanini wamsubiri waziri mkuu aje ndipo ubovu ubainikaHili ni jambo la kiutendaji tu kwani Hawa wote ni watu wanasimamia taasisi chini yao,
Kazi nzuri sana Dkt Mwigulu na Kafulila
Sahihi kabisaKuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana.
Hoja yako ni nzuri pia,Kama ni hivyo sehemu nyingi zenye miradi ya mabilini kwanini wamsubiri waziri mkuu aje ndipo ubovu ubainika