Small letter
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 280
- 177
Ridhiwani ananguzo tayari ya kuegamia naona hawa wengine wanajitafutaAjiangalie CCM hawatakagi Watu Wenye vimbelembele
Angalia Utulivu wa Ridhiwani huo ndio UCCM 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ridhiwani ananguzo tayari ya kuegamia naona hawa wengine wanajitafutaAjiangalie CCM hawatakagi Watu Wenye vimbelembele
Angalia Utulivu wa Ridhiwani huo ndio UCCM 😀😀
Maelekezo
Kafulila na Mwigulu ni akili kubwa tutegemee makubwaJe, nini dhima ya Mhe Dkt Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP kuwakusanya Viongozi hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Kila mtu mnamwita mwizi Sasa mbona hizo Mali zinazoibwa haziishi?Wote ni masikini mkuu ,matajiri hawafanyi kazi ,matajiri wanakula bata tu ,walishajipata kitambo ,hao unaowazungumza ni WEZI wa MALI ya UMMA na ndiyo maana wapo tayari kuua ili mradi waendelee kuwaibia waTZ.
Katika Maisha yangu sijawahi kumuonea wivu tajiri hata siku moja maana utajiri wake au umasikini wake mimi haunisaidii hata kidogo ,nitapiga kelele endapo tu kama NI JIZI LA MALI ZA UMMA.
Tutatumbukia shimoni huyu akiwa ndie mambo yataharibika zaidi sahv yupo hazina mambo valuvalu akipewa kijiti ndo itakuwa balaa kubwaHuyu ndie Rais wa JMT 2030 na hii ni mipango kuelekea huko
Mungu wetu ni mkuu hawezi na hatakaa aruhusu huyu mtu awe kiongoz wa tz ,na akiwa Bora nihame niende alikosema tuhamie Burundi ,,au nifanye ya mapinduziHuyu ndie Rais wa JMT 2030 na hii ni mipango kuelekea huko
Kila mtu mnamwita mwizi Sasa mbona hizo Mali zinazoibwa haziishi?
Taratibu huwafahamu ccm vizur wwHuyu ndie Rais wa JMT 2030 na hii ni mipango kuelekea huko
UchaguziJe, nini dhima ya Mhe Dkt Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP kuwakusanya Viongozi hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Sio kila kitu lazima kizungumzwe mitandaoniSerikali imenunua virtual equipments kila ofisi ya RC ili kupunguza gharama za kufanya mikutano physically.
Kwanini hawatumii vifaa hivyo kufanya huu mkutano ili kupunguza gharama?
Ni mojawapo ya matumizi mabovu ya fedha za umma kuwakusanya hao wote hapo Dodoma .
Mikutano kama hii ni sehemu ya upigaji manake posho na gharama za mafuta zitakazotumika ni nyingi sana
Huelewi kitu kuhusu virtual equipments zinavyofanya kazi , kiufupi sio mtandaoniSio kila kitu lazima kizungumzwe mitandaoni
Kama ilikuwemo kwenye bajeti iliyopitishwa na Bunge sioni tatizo.Ni mwanzo mzuri wa kula fedha ya serikali kupitia posho za semina, warsha na makongamano
Hayo mafunzo ya kawaida na siyo ya Mwigulu. Sheria ya manunuzi inasimamiwa na PPRA. Yeye atakuwa ameutwa kama mgeni rasmi tu ili kufungua mafunzo.Je, nini dhima ya Mhe Dkt Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP kuwakusanya Viongozi hawa waandamizi wa Taifa hili?
View attachment 3083254
Huyo akiwa Rais mtahamia BurundiHuyu ndie Rais wa JMT 2030 na hii ni mipango kuelekea huko
Kura Gani za kuibiwa hizo?Mipango ya wizi wa kura tu. Sinaimani nawigulu hata chembe