Elvis Legacy JF-Expert Member Joined Aug 10, 2017 Posts 3,984 Reaction score 5,820 Aug 31, 2024 #61 Kuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana.
Kuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana.
Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,588 Reaction score 22,752 Aug 31, 2024 #62 Mshana Jr said: Kisomo cha wizi wa kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Click to expand... Duuu kazi ipo
Mshana Jr said: Kisomo cha wizi wa kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Click to expand... Duuu kazi ipo
I imma mkatoliki JF-Expert Member Joined Jun 23, 2024 Posts 218 Reaction score 159 Sep 5, 2024 #63 Elvis Legacy said: Kuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana. Click to expand... πππ
Elvis Legacy said: Kuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana. Click to expand... πππ
N ndolelejiUduhe JF-Expert Member Joined May 16, 2024 Posts 2,837 Reaction score 3,027 Sep 5, 2024 #64 Tajiri la Bitcoin said: Tatizo masikini wanachukia sana matajiri, Omba Mungu na wewe ipo siku yako utatoboa tu Click to expand... Utajiri unaotokea kwenye Ofisi za Umma ni Utajiri Haramu ! Mwalimu alisemaga Ukitaka utajiri tuachie Ofisi yetu kisha ukafanye Biashara na ulipe kodi !
Tajiri la Bitcoin said: Tatizo masikini wanachukia sana matajiri, Omba Mungu na wewe ipo siku yako utatoboa tu Click to expand... Utajiri unaotokea kwenye Ofisi za Umma ni Utajiri Haramu ! Mwalimu alisemaga Ukitaka utajiri tuachie Ofisi yetu kisha ukafanye Biashara na ulipe kodi !
sengobad JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 9,008 Reaction score 8,788 Sep 5, 2024 #65 Jabali la Siasa said: Hili ni jambo la kiutendaji tu kwani Hawa wote ni watu wanasimamia taasisi chini yao, Kazi nzuri sana Dkt Mwigulu na Kafulila Click to expand... Kama ni hivyo sehemu nyingi zenye miradi ya mabilini kwanini wamsubiri waziri mkuu aje ndipo ubovu ubainika
Jabali la Siasa said: Hili ni jambo la kiutendaji tu kwani Hawa wote ni watu wanasimamia taasisi chini yao, Kazi nzuri sana Dkt Mwigulu na Kafulila Click to expand... Kama ni hivyo sehemu nyingi zenye miradi ya mabilini kwanini wamsubiri waziri mkuu aje ndipo ubovu ubainika
Tanzania ya Watanzania Senior Member Joined Apr 28, 2024 Posts 146 Reaction score 104 Sep 5, 2024 #66 Elvis Legacy said: Kuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana. Click to expand... Sahihi kabisa
Elvis Legacy said: Kuna kitu hakipo sawa. Hiyo tarehe ndipo vikao vya CCM vipo huko huko Dodoma. Kweli mwaka wa uchaguzi huwa kuna hekaheka nyingi sana. Click to expand... Sahihi kabisa
J Jabali la Siasa JF-Expert Member Joined Jul 10, 2020 Posts 2,823 Reaction score 2,466 Sep 8, 2024 #67 sengobad said: Kama ni hivyo sehemu nyingi zenye miradi ya mabilini kwanini wamsubiri waziri mkuu aje ndipo ubovu ubainika Click to expand... Hoja yako ni nzuri pia,
sengobad said: Kama ni hivyo sehemu nyingi zenye miradi ya mabilini kwanini wamsubiri waziri mkuu aje ndipo ubovu ubainika Click to expand... Hoja yako ni nzuri pia,
MtamaMchungu JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 8,974 Reaction score 12,662 Sep 8, 2024 #68 Per Diem zitembee sasa... serikali mtandao ipo wapi?