Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Tulio field tunajua yote,

Walio mitamdaoni wanaona toafauti

Ndio kusema Lisu ni rais wa mitandaoni ila rais wa tz ni JPM.
Dodoma leo
Dodoma ( 365 X 640 ).jpg
Asante sana Dodoma.   - NiYeye2020 ( 385 X 640 ).jpg
 
wenzako wako TCRA wanapanga namna ya kuikomesha ITV wewe unakenua tu meno ! zile DK 45 zimeharibu ccm kwa 96% , si mchezo .

Nilikuwa pub fulani hivi muda ule , kuna mtu kanywa bia 7 kwa nusu saa tu bila kujielewa kutokana na nondo za Lissu , uzuri ni kwamba alipoletewa bili hakubisha
LISSU jamani yule ana ubongo wa wabunge 100 wa CCM kwa pamoja, Jamaa anavyoongea kwa utulivu, heshma na facts unaweza jiuliza huyu anyewaambia wamama wanavaa barakoa zinafanana na matiti, unawaza anamjibu mama eti anataka kupanuliwa, unawaza anamjibu mhaya eti sijakuletea tetemeko!
 
Safi sana....
Aisee! Hiyo picha mlivyoiedit aibu kabisa!

Nyanyua camera juu au rusha drone, leta picha hapa,
Siyo unaenda sehemu ya watu waliomzunguka Lisu unapiga picha unaicrop kisha ndio unaleta hapa. Mnatia aibu
 
Hiyo janja yenu ya Kusubiri kimalizike kila kitu ndo muanze kutupia picha na video za kuungaunga mnatukatisha tamaa tunaotaka kufuatilia mbashara kule YouTube mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom