Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Jiwe ameanza kulalamika kama wenzake walipewa kumi kumi kwanini na yeye asipewe 10?Usipime Lissu sasa hivi ni gumzo bila wasanii anakubalika. Yule mwingine ngoja ajazane na kina x maana wananchi wanahitaji burudani halafu akishaanza na masuala ya ndege wanazururazura kutafuta barafu
TBC eti bado wanaendelea kususa, alas!Dodoma leo itazizima
Dodoma leoTulio field tunajua yote,
Walio mitamdaoni wanaona toafauti
Ndio kusema Lisu ni rais wa mitandaoni ila rais wa tz ni JPM.
Safi sana....
LISSU jamani yule ana ubongo wa wabunge 100 wa CCM kwa pamoja, Jamaa anavyoongea kwa utulivu, heshma na facts unaweza jiuliza huyu anyewaambia wamama wanavaa barakoa zinafanana na matiti, unawaza anamjibu mama eti anataka kupanuliwa, unawaza anamjibu mhaya eti sijakuletea tetemeko!wenzako wako TCRA wanapanga namna ya kuikomesha ITV wewe unakenua tu meno ! zile DK 45 zimeharibu ccm kwa 96% , si mchezo .
Nilikuwa pub fulani hivi muda ule , kuna mtu kanywa bia 7 kwa nusu saa tu bila kujielewa kutokana na nondo za Lissu , uzuri ni kwamba alipoletewa bili hakubisha
Hahahaha duh umetishaCDM raha sana, mnamuambia mpiga picha achuchumae kuwafichia aibu [emoji23][emoji23][emoji23]
Upigaji wa picha una shida
May be vice versaKwa hiyo hao watu tunaowaona ambao ni wachache sana kumbe wametoka mikoa yote iliyoko kwenye kanda husika aisee mbona wachache aibu loo
mpiga picha za nyomi huyo hapo juu ya kontena na amepiga kwa kukata hasa waliokuwa karibu na jukwaa
Kamanda hivi siku hizi picha zenu mpaka muedit?
[emoji1] [emoji1]Jana kawaagiza wafuasi wake kuwa muwe mnatembea na ndizi mbivu tayari kwa kuufinya wali.
Aisee! Hiyo picha mlivyoiedit aibu kabisa!Safi sana....
Mbona watu wachache sana, watu wa Dodoma hawataki utapeli kama Wa ccmlisu kisha maliza mkutanoView attachment 1558434
mpiga picha za nyomi huyo hapo juu ya kontena na amepiga kwa kukata hasa waliokuwa karibu na jukwaaView attachment 1558428
Hapo ndio makao makuu ya nchilisu kisha maliza mkutanoView attachment 1558434