Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Wanafunzi wa vyuo wakitumika vizuri watalifanikisha kwa ubora wa hali ya juu hilo tukio.

Kuliko kusifiwa na wale waliojaa mipasho wa rangi ya kijani, kupata uungwaji mkono wa kundi kubwa la wasomi inaonesha Lissu ni kiongozi wa aina gani.
 
Hivi unafikiri wewe kuwa hai hadi leo maana yake upo makini zaidi ya wale waliokufa mkuu?
Akumbuke tu huo ndo mji ulioweka historia ya uhai wake,ikibidi atembelee eneo la tukio kutoa sadaka na aende hospitaliya mkoa kuwashukuru madaktari na manesi...zaidi ya yote awe MAKINI
 
Kmmzenu,hapo kila mtu anadai yeye ni wa Wanyonge na kweli mnawanyonga, yaani sisi waafrika tukijinasibu umasikini na unyonge kwetu sijui ni au kutaka huruma?lakini hii yote tumezoeshwa kusaidiwa na kufadhiliwa nilimsikia spika wakati wa kufunga bunge akitoa aibu zake alivyokuwa akiishi kiufukara na maisha ya dhiki
Lissu nae kasema atakuwa rais wa wanyonge!? Utakuwa hauko sawa..
 
Kwa mji wa Lisu Tanzania kuna Corona na watu wanakufa, hivyo sitarajii shamra shamra kama za mwenzake anayeamini Corona imekwisha.
Ina uhusiano gani na kumsindikiza shujaa wao? Watu wanajua kuchukua tahadhari
 
Hahaaa mtapata kazi sana mwaka huu kwa sababu lissu Ni mropokaji
Lissu hawezi kutofautisha maneno Kati ya kuongea na press,hadhara,bungeni au mahakamani yeye anarusha tu
Wiki ya kwanza tu ya kampeni mtajuta kumchagua lissu,mtamkumbuka Nyalandu
Weka Akiba ya maneno usiropoke kila kitu
 
Chadema leo inatarajiwa kutoa ratiba njia atakazopita mtetezi huyo wa wanyonge na Msemaji wa wasio na sauti ili walau watu kujipanga majiani kumsalimia na kumsindikiza.
Hueleweki unataka kusema nini
 
Twende twende twende
IMG_20200806_201244_156.JPG
 
Back
Top Bottom