Maelezo ya tume ni kuwa Siku zilizopangwa kuchukua na kurudisha fomu zimetajwa kwa idadi na tarehe na 8/8 iko within.Je, CHADEMA wameshajiridhisha na Tume ya Uchaguzi ( NEC ) kuwa Kesho watakuwepo? Aliyeipanga hii tarehe alikosea na naomba niishie hapa.
Hii ni point unajua Lissu ni hazina ya maarifa mpaka anapitiliza sisi tunamwelewa lakini kuna wale watanzania uelewa wao sio mkubwa sana ndio wanapata shida.Huo ni ushauri mzito sana.
Inabidi cdm muwe na kamati maalum ya ushauri kwa TL.
Ieleweke anajiandaa kuingia kwenye taasisi kubwa hivyo ni lazima aelewe anachozungumza sio azungumze kila anachokielewa.
Inaweza tokea wakafunga siku hiyo. Wakaja sema mbona nchi nzima ni sikukuu nyie hamkujua??Maelezo ya tume ni kuwa Siku zilizopangwa kuchukua na kurudisha fomu zimetajwa kwa idadi na tarehe na 8/8 iko within.
Hata hivyo kwa vile NEC wanajinasibu hawafanyi kazi kihuni, tokea Chadema wataje siku yao ya kuchukua fomu wangeweza kusema mbona tutakuwa tumefunga!
Zitakuwa wazi
Tunashukuru Molemo kwa kuleta hii habari. Kuna uzito fulani kwenye kitengo cha habari cha cdm, kiasi kwamba kuna uzi humu jukwaani unaohimiza kitengo cha habari kuamka. Kuna ushauri pia kuhusu Tundu Lisu jinsi ya kufanya siasa zake bila kupoteza credibility yake. Ni vyema kama chama mkakaa na Lisu na kumfunda. Kuna baadhi ya maneno anaongea yanampotezea haiba yake.
Ondoa shaka mkuu ...ikifika kipindi hk NEC huwa haina J2 wala ckukuu ..na kesho ndo ratiba yetu hvyo bc Kama kungekuwa na sikukuu bc wangetupa tarehe nyingine
Tatizo watamruhusu kufika kote huko?Akumbuke tu huo ndo mji ulioweka historia ya uhai wake, ikibidi atembelee eneo la tukio kutoa sadaka na aende hospitaliya mkoa kuwashukuru madaktari na manesi, zaidi ya yote awe MAKINI.
Mkuu ndo ivo tenaLissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?
Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba,hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu,huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna .
Harafu mtu anaposema lissu atakuwa rais ni kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano,hii ni ndoto
Mwambie lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea,
Eti mtetezi wa wanyonge,wanyonge wepi hao anaowatetea ?
Yule mzee buana ana shidaMikutano yake imebaki ni ya vichekesho tu badala awamibie wananchi amewafanyia nini cha maana kwa miaka 5
Hivi watumishi wa umma yaani waalimu, waganga, polisi, JWTZ, maofisini, na wastaafu no maneno gani mazuri mengine zaidi ya haya utawaambia?Kwa nyie FAO la kujitoa linarudi...madaraja mtapanda kwa mujibu wa sheria na kanuni za mtumishi wa umma.
Nidhamu yaani kuheshimiana... si kutukanwa na kudhalilishwa mbele ya umati.
jitahidi kufikiri kwa kutumia kichwa sio kisiginoLissu hana.nafasi ya kupata hata kura 3
Mkuu habari, habari, imarisheni kitengo Cha habari, njooni na ubunifu wa kuwafikia wananchi wengi, hata wale walioko remote areas, fanyeni recording ya visual na audio ya hotuba zote ili zisambae nchi nzimaKaribu Sana mkuu
Haswaa. Asije akawa Kama huyu anayehitimisha muda wake....lazima aelewe anachozungumza sio azungumze kila anachokielewa.
Kila mtumishi anastahili heshimaHivi watumishi wa umma yaani waalimu, waganga, polisi, JWTZ, maofisini, na wastaafu no maneno gani mazuri mengine zaidi ya haya utawaambia?
Kweli kabisa #NIYEYE2020
Magufuli ndo nini mkuu, sera au ilaniBinafsi sioni dhambi vyama vyote kumuunga mkono Magufuli amalize kipindi chake. Otherwise ni kupoteza fedha na rasilimali. Uchaguzi si vita, bali mchezo wa hesabu. Namba zilishagoma kwingine.
Wanyonge sisi...... yaani mpk mteme nyongo safari hii by the way endelea kuenjoy buku saba yakoLissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?
Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba,hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu,huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna .
Harafu mtu anaposema lissu atakuwa rais ni kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano,hii ni ndoto
Mwambie lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea,
Eti mtetezi wa wanyonge,wanyonge wepi hao anaowatetea ?