Does Africa have its own (unique) definition of democracy?

Definition tofauti ya demokrasia anayo Magufuli na CCM. Kwao demokrasia maana yake wizi na kutumia vyombo vya dola kuulinda huo wizi.
Vyombo vya dola vinalinda wizi? Kuanzia lini mkuu?
 
Mhhh...
 
Angalia huyo Raisi wa 'Tasmania' kila 'alipotembea' na 'akasimamishwa' malalamiko karibia yote ya wananchi wake ni juu ya unyanyasaji na uminywaji haki ukianzia polisi.
Changamoto za raia na Police zipo nchi zote dunia nzima
 
Nikukumbushe, Kamanda Zombe kesi yake imekamilika juzijuzi tu na waliohusika na mauaji yale mmoja/wawili wao wamekula first degree murder case, wengine miaka ya kutosha.
Tena yule jamaa alikuwa ni OCCID wa Kinondoni kama sijakosea...
 
Umejitahidi kufafanua uongo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…