Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #161
Mhhh, hapana mkuu...Definition tofauti ya demokrasia anayo Magufuli na CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh, hapana mkuu...Definition tofauti ya demokrasia anayo Magufuli na CCM.
Vyombo vya dola vinalinda wizi? Kuanzia lini mkuu?Definition tofauti ya demokrasia anayo Magufuli na CCM. Kwao demokrasia maana yake wizi na kutumia vyombo vya dola kuulinda huo wizi.
Mhhh...Kesi moja, katika kila matukio zaidi ya 100,000! Napo naamini Zombe kuna kitu aliwakosea mabosi wake, atakuwa aliwanyima mgao. Ndiyo maana wakamkaanga!
Ukweli mchungu, police brutality ni suala la kimfumo, psychologically wananchi wameathirika wanaelewa hakuna wa kuwasaidia. Mfumo upo kuwasaidia wana usalama!' Za kubrashia'!
Changamoto za raia na Police zipo nchi zote dunia nzimaAngalia huyo Raisi wa 'Tasmania' kila 'alipotembea' na 'akasimamishwa' malalamiko karibia yote ya wananchi wake ni juu ya unyanyasaji na uminywaji haki ukianzia polisi.
Tena yule jamaa alikuwa ni OCCID wa Kinondoni kama sijakosea...Nikukumbushe, Kamanda Zombe kesi yake imekamilika juzijuzi tu na waliohusika na mauaji yale mmoja/wawili wao wamekula first degree murder case, wengine miaka ya kutosha.
Poaum
Umejibu kihalisia sana uko sawa
Umejitahidi kufafanua uongo wakoWaliomuua waliwajibishwa,Joe Biden aliyewahi kuwa makamu wa Rais na anayeweza kuwa Rais ajaye alilaani mauaji hayo.
Obama ambaye ni Rais mstaafu alilaani mauaji hayo
Pelosi Spika wa bunge la Marekani alilaani mauaji hayo.
Halafu fahamu pia polisi Marekani ni suala la kimajimbo sio la kitaifa,kuna majimbo yana matatizo ya kipolisi na kuna majimbo yenye huduma nzuri zaidi za kipolisi.
Haya rudi nchini kwako sasa.
Honestly, Police wanajitahidi sana mkuuMifano iko mingi lakini kwa kuwa mdharau kwao huwa mtumwa basi everyday becomes Saturday........... Not cool:
mhhh...Yesu alimuuliza mtu mmoja " Na wewe mwalimu wa sheria na huyajui haya".
Uongo wake kwanini mkuu?Umejitahidi kufafanua uongo wako
Hahahaaa sawa mkuuGet the definition from museven and kagame!!!!