rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
ndio maana huwa anakuja jamaa akiwa hayupooo...!! hapo ana bahati kawahi kushtukiza angekuta dogo anamlaaaMwamba kama mwamba umeamua kumchana ukweli dogo ameshapalaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio maana huwa anakuja jamaa akiwa hayupooo...!! hapo ana bahati kawahi kushtukiza angekuta dogo anamlaaaMwamba kama mwamba umeamua kumchana ukweli dogo ameshapalaza.
😂😂😂😂😂 daaah, alitakiwa alivyomkuta amtimue na ajue kajua kwamba hamtaki pale, mkuu umenichekesha eti kenge 😂😂😂😂😂😂 aisee acha kabisaaaZuia hiyo kenge isiingie ndani kwako na mkeo atambue hilo!
Wakulaumiwa wewe na uzi wako wa kimasihara….ndio maana huwa anakuja jamaa akiwa hayupooo...!! hapo ana bahati kawahi kushtukiza angekuta dogo anamlaaa
😀 😀 😀dogo anajibless jamaaa akiwa hayupo... ovyoo sanaWakulaumiwa wewe na uzi wako wa kimasihara….
Hawa madogo janja wajuaji sana😀 😀 😀dogo anajibless jamaaa akiwa hayupo... ovyoo sana
Piga chini huyo mwanamke kama unachomwambia haelewi,aende akaolewe na huyo dogoWakuu mulibwanji?
Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.
Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.
Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.
Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.
Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.
Wakuu mnanishauri nini?
na ubayaa tayari dogo ana historia ya kumlaaaa mke wa jiraniHawa madogo janja wajuaji sana
Me ningemkuta ningemtimua kala upande wa pili katosheka kahamishia majesh upande wa mke wa jamaa na mademu si wanasimulianaga ukute dogo chini ana chupa ya uhai sasa inamtesa huyu mke wa mshikaji, aaah noma sanana ubayaa tayari dogo ana historia ya kumlaaaa mke wa jirani
lazima wameadiathiana mafalaa hao ndo maana anataka kuliwaa naeMe ningemkuta ningemtimua kala upande wa pili katosheka kahamishia majesh upande wa mke wa jamaa na mademu si wanasimulianaga ukute dogo chini ana chupa ya uhai sasa inamtesa huyu mke wa mshikaji, aaah noma sana
Siwezi kuhama sababu ya mwanamke mjinga asiejitambuaUnakubali vipi kwenda kuishi kwenye nyumba ya namna hiyo Mkuu? Naona kama ulichelewa sana hadi yanaanza kukuta. Ulidhani akiachana na mke wa mwenzio atamfuata yupi?
Hakuna ushauri mwingine zaidi ya kukomesha mazoea ya huyo mjinga na mkeo. Sijui kwanini wakiona wako single hawawafuati? Wanangoja hadi mtu abebe mzigo.
Wanachofanya hao wajinga ni kukuponda tu kwa mkeo ili wao sasa ndiyo waonekane wa maana. Fanya kila njia uvunje tu hayo mazoea kwa hali yoyote ile.
Ila jambo kubwa zaidi ni kuhama tu hiyo nyumba.
Ova
Dogo anaonekana injini kiuno,hama haraka!Wakuu mulibwanji?
Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.
Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.
Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.
Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.
Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.
Wakuu mnanishauri nini?
Jidanganye....Mimi mtaani naogopewa sana,hakuna mtu ananiletea masikhara
No! Uhame kwa sababu umedhalilishwa na kudharaulika. Mtu anayekuja kuchukua mke wako ni lazima atangulie kukudharau kwanza.Siwezi kuhama sababu ya mwanamke mjinga asiejitambua
Nipo stationary hapa nasubir umeme uwake niifanyie lamination hii commentMke huwa niwa mwanamume mmoja tu,tofauti na hapo huyo ni Malaya!
Mimi ndio maana huwa sitaki mchezo na mwanamke! mke wangu naishi nae mkono wa chuma since day one nimemuoa bado bibi harusi kabisa na hina kibao nikamwambia sitaki utani hata na shemeji zako yaani nduguzangu.Piga chini huyo mwanamke kama unachomwambia haelewi,aende akaolewe na huyo dogo