Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Updates
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Leejay49 baby umesikia hiimtu anaeomba ushauri kwenye mambo sensitive hivi ni lazima aendelee kutom bewa,
huyo dogo ngeu, ngumi kali sana ya pua nampiga ngumi puani maumivu hadi miguuni ha ha,
hata kwenye hali ya kawaida mafahali wawili hamuwezi mkachekeana mbele ya mwali yani ningemkarakasha tu ningembonya tu mbele ya wife,
ulisikia wapi punda dume wawili na jike mmoja kwenye zizi moja hapo lazima zichapwe kujihakikishia burudani
utapigwa bila kupenda ndani ya zizi utatolewa ngeu ili tu watu wapate burudani kwa utulivu wewe ukiwa unachechemea over.
KashalizwaPole sana mkuu
Form 3 siyo kijana mdogo. Kama alianza shule na miaka 7, sasa ana miaka 17. Barehe zinaanza kwenye 14. Miaka 17 mpaka 20 wanapendwa na mimama ya 30-40 maana hawachoki haraka. Hao wana uwezo wa uwezo wa kuunganisha na kupiga dabali bila kuchoka. Katika huo umri kuna wanaopiga mara tatu hadi nne kwa kikao. Uje ukute mwenye mali ni kimoja usingizi, basi hao dogo wanakuchakazia mke, mpaka unapokuja hana hamu na wewe wala tendo..Form three ni kijana mdogo sana kwa wanafunzi wa kizazi hiki, kwa kukadilia umri wake atakuwa chini ya miaka 15
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app