Jua kali walianza vizuri sana watu wakaipenda Ila badae sijui ikawaje unaweza kuwa busy week 2 usiangalie, siku ukija kuangalia week ya 3 unakuta watu bado wako pale pale sebuleni wanalia ulipoacha last time.Kingine kinachoniuzi ni Drama zinazungushwa sana Esp: Jua kali
ifike mahala kitu kiishe kianze kingine
Wakumbuke KanumbaAlafu mapenzi sio muda wote. Muda mwingi ni kazi. Mapenzi ni kionjo au kiungo cha mboga jikoni.
Kingine kinachoniuzi ni Drama zinazungushwa sana Esp: Jua kali
ifike mahala kitu kiishe kianze kingine
Wakumbuke Kanumba
1. Anko JJ
2. Ile aliyoigiza na Ramsey Noah
3. Ile aliiigiza tena na wale watoto kuwasomesha mjini
Unaona kabisa Mapenzi hayapo kabisa.
Inatakiwa dhamira ya filamu au tamthiliya ijulikane.
Pia sidhani kama hawa jamaa mfano huba hii tamthiliya yao ipo kwenye maandishi mwanzo mpaka mwisho au ndio ile mtunzi kila wiki anakaa anaandika episode inayofuata.
Yani kisa tu ndo kinazungushwa zunhushwa bila sababu jua kali ilitakiwa iishe kitambo sanaJua kali walianza vizuri sana watu wakaipenda Ila badae sijui ikawaje unaweza kuwa busy week 2 usiangalie, siku ukija kuangalia week ya 3 unakuta watu bado wako pale pale sebuleni wanalia ulipoacha last time.
unadorora na wengine tunaachana nao kabisaYaani mazungumzo mengi alafu hakuna jipya.
Ni kama mtunzi hajui anachokifanya, anazungusha mambo mchezo unadorora.
Yani kisa tu ndo kinazungushwa zunhushwa bila sababu jua kali ilitakiwa iishe kitambo sana
unadorora na wengine tunaachana nao kabisa
Mkuu si lazima Mapenzi yawepo. Kuna tamthiliya na movies zinafanya vyema sana bila uwepo wa mapenzi.Mapenzi kuwepo ni muhimu kama kionjo, lakini kuyafanya ndio Maisha hapo ndipo wanakwama.
Siri ya mtungi ni Tamthilia nzuri ambayo inahusu mapenzi lakini imechukua mambo mengi na Kwa upana wake na matokeo yake.
Pia Bongo movies tujifunze kumaliza tamthiliya zetu.
Mfano Huba hivi ina miaka mingapi.
Tutunge mpya. Tatapata mawazo mapya namna ulimwengu unavyoenda.
Target ya soko iwe international
Tofauti na hapo ni kupoteza Muda.
Sahihi, na hii inafanya wanapoteza hata watazamaji.Yani kisa tu ndo kinazungushwa zunhushwa bila sababu jua kali ilitakiwa iishe kitambo sana
unadorora na wengine tunaachana nao kabisa
Mkuu si lazima Mapenzi yawepo. Kuna tamthiliya na movies zinafanya vyema sana bila uwepo wa mapenzi.
Ni ushauri tu, watunzi wetu wajifunze kuwaza nje ya Box. Kutarget soko Fulani.
Jua kali inakela sana ni kama picha la kihindi huba naipenda sana
Mtunzi wa huba yupo vzrMkwamo unaotokana na ubunifu mdogo WA visa na mikasa mipya ndio tatizo.
Kuunganisha matukio yalete maana na ladha Napo ni changamoto.
Kuvifanya visa vivutie na kuwapa watazamaji mtazamo Mpya na ujenzi wa fikra Mpya za kuikomboa jamii imekuwa ni kazi iliyoshindikana.
Wanaojitahidi nao, wanaijenga jamii katika ukale yaani wanairudisha Nyuma jamii ilikotoka badala ya kuipeleka Mbele mahali ambapo Dunia inakwenda.
Tamthilia inaweza kuwa ndefu lakini iwe na ubunifu wa visa na mikasa mipya.
Uibuaji wa migogoro mipya pamoja na namna ya kuimaliza kutakako toa mafunzo Kwa watazamaji. Hapo wengi ndio wanakwama.
Mtunzi wa huba yupo vzr
Sasa kwa hizi Bongo movies ni tatizo.
Unakuja kuangalia episode baada ya wiki tatu wenzako unakuta wamesogea masaa 2 tu kwenye matukio ya series.
Sijui wanafanya kwa lengo gani.
Ni kweli sio lazima mapenzi kuwepo.
Inategemea na Aina ya filamu au Tamthilia.
Ni ngumu kuyatenganisha Maisha ya Mwanadamu na Mapenzi.
Kwa sababu Watu wapo vile walivyo Kwa sababu ya athari za mapenzi.
Ila kuyafanya mapenzi kama ndio dira ya Maisha hapo ndio kosa linapotokea,
Mbona mtunzi wa huba amefeli sana.Mtunzi wa huba yupo vzr
Mh how?Yupo kwenye mkwamo.