Dogo Janja abwagwa rasmi,Jamii iwe karibu naye asije akafa

Dogo Janja abwagwa rasmi,Jamii iwe karibu naye asije akafa

Achukue demu la chuga hawa wenye anwani tatu sio mpango kabisa. Dogo kama kitu hapo chuga, hutajuta mwanangu arifu.
 
Bora kula kwa macho,ukikumbuka zile mbinuko zake na tako lazima uwe kichaa
Huu mbinuko....
Screenshot_20180901-231303.jpg
 
Hii nchi ina vichekesho kuliko Comedy Central
 
Muandishi mashuhuri wa vitabu vya historia wa Uingereza - huyu Behaviourist kanifanya mimi intellectual, sasa nishampeleka kwenye ubuyu namrudisha kwenye u intellectual- Paul Johnson, alihojiwa na kipindi kimoja cha BookTV C-Span Marekani.

Akawa anatoa maoni yake, kipindihicho ndiyo Obama anakuwa Rais.

Akawaanaongelea usomi usomi, akaulizwa, utapenda RaisObama awe msomi msomi atuondoe kwenye ujinga wa Bush?

Akasema hatapendelea, wasomiwasomi wakiendeleza usomi sana wanakuwa boring, halafu wanafanya mambo kwa vitabu sana mpaka wanaharibu.

Angependa kuona Obama anakuwa anachanganya werevu wa kisomi na werevu wa kimtaa mtaa.

Sasa rafiki yangu Behaviourist asishangae akinikuta najichanganya kutoka ma "logical non sequitur" kwenye philosophy of religion, mpaka stories ya ku destress za Dogo Janja.

Dogo Janja anaweza kujadiliwa in the highbrow prism of a post-modernist existential Shakespearean fool's tragicomic Romeo and Juliet analogy.
Kiranga sio tabia nzuri kuandika malugha magumu kiasi hiki, umeshindwa nini kumalizia na kiswahili tu?
Hujatusomesha ujue!
Elimu yetu ya hapa na pale kama vipi washawishi huko kwakina Trump kiswahili iwe lugha yao pia.
Salam nyingi kwa Al watan nduguyo wa damu.
 
Kiranga sio tabia nzuri kuandika malugha magumu kiasi hiki, umeshindwa nini kumalizia na kiswahili tu?
Hujatusomesha ujue!
Elimu yetu ya hapa na pale kama vipi washawishi huko kwakina Trump kiswahili iwe lugha yao pia.
Salam nyingi kwa Al watan nduguyo wa damu.
Mlaumu Behaviourist

Nimekuja kiubuyu ubuyu hapa poa, yeye kaanza kunitajia ma theory ya kusoma kinyumenyume ambayo hata alama zake kwenye keyboard hazipo.

Ndipo alipochokosa mambo.

Nimemwambia tunakaba pote mpaka penati.
 
Wanazingua tu hawajaachana, wameamua kucheza na akili za watanzania cuz wanajua huwa tunapenda sana ubuyu.
 
Wanazingua tu hawajaachana, wameamua kucheza na akili za watanzania cuz wanajua huwa tunapenda sana ubuyu.
 
Dah Dogo atakufa kweli na vile alikuwa amezoea kulelewa na like jimama afu limemuachia na mkono Wa nyan kama lilivyofanya kwa yule mrwanda
We umeona stress za mapenzi tu ndo zitamuua Janjaro? Ngoma je?
Kafaidi wapi janjaro inawezekana kabisa kaachiwa ngwengwe maana manzi alikuwa anatembea na mshkaji flan anaitwa ababuu nae ni marehemu sasa...acha chaini iendeleeView attachment 870397
Haaaaa ndo nin mkono wa nyani
JULIANA =HIV
Labda analia kwa kuachiwa ngoma kama mdau mmoja alivyosema hapo juu

=======================
MKONO WA NYANI ni NOMA.
 
Back
Top Bottom