Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
That's all? Nah, toa maelezo ya kueleweka ili jukwaa likuelewe! Jibu halijitoshelezWako wachache ni minority hawawezi kuongoza. Je unahitaji kuelezewa zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's all? Nah, toa maelezo ya kueleweka ili jukwaa likuelewe! Jibu halijitoshelezWako wachache ni minority hawawezi kuongoza. Je unahitaji kuelezewa zaidi?
😂😂😂Waliungana wakawa "UKAWA" still mission ilibuma ..sasa CDM pekee ni wachache kwa nchi zetu bila ya mapinduzi hawatoweza kushika Dolla Maisha.That's all? Nah, toa maelezo ya kueleweka ili jukwaa likuelewe! Jibu halijitoshelez
Swali langu nilimuuliza hata mleta hoja eventually akatoweka bila kujibu kwa usahihi!! Hapa umeleta hoja ya ukawa ambayo haina uhusiano na CDM individual wakati hoja inamzungumzia CDM individual!😂😂😂Waliungana wakawa "UKAWA" still mission ilibuma ..sasa CDM pekee ni wachache kwa nchi zetu bila ya mapinduzi hawatoweza kushika Dolla Maisha.
Umeharibu ulivyomtaja tu Magufuli. Magufuli tena? Hapana, kama unataka hii inchi igawanyike katika vipande vipande tumpate Magufuli mwingine. Yule hakuna lolote, hakuna mzalendo aliweza kuwadanganya watu kwa muda ule mfupi. Mbaguzi asiyeelezeka. Katili hajali kuua binadamu mwenzake kwa maslahi yake. Wapinzani watoto wao wa uraia wa Marekani wale wameshajiandaa kuihama hii nchi. Wapi Tundu Lissu, Godbless Lema, Mbowe mwenyewe watoto wamarekani unategemea wapewe nchi?Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu
Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.
Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.
Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.
CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.
Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.
Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!
Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!
Yangu ni hayo!
Hawana uwezo. Hivi kweli DJ Mbowe hata ukimwangalia ndiyo awe kiongozi mkubwa. Angalia alichikifanyia CHADEMA, kipo ICU. Nani CHADEMA ana hata calibre ya kuwa kiongozi mkubwa? Nani? Hii nchi siyo ya wahuni bwashee.Kwanza kabisa.. hayo uliyoshaur CCM uchungu na nchi, uzalendo 🤣🤣🤣 kamwe haiwezekan!! Pili... Ungeelezea kwa kina kwann CDM hawastahili kupewa dhamana ya kuongoza hii nchi.. elezea kwanini
Masikini hapa umetulia kweli kweli kutoa hoja 🤣🤣. Well mpaka sasa hakuna alietoa hoja ya msingi kujibu swali langu. Ngoja labda atatokea wa kujibu kwa usahihi bila kuangalia ushabiki. Chama kipo ICU lkn mpaka Rais anataka maridhiano nacho, anakifungia kufanya mikutano still chama kipo ICU 😂😂😂 ndio maan nimesema bado hakuna aliekuja na hoja ya msingi!! Jipange upyaHawana uwezo. Hivi kweli DJ Mbowe hata ukimwangalia ndiyo awe kiongozi mkubwa. Angalia alichikifanyia CHADEMA, kipo ICU. Nani CHADEMA ana hata calibre ya kuwa kiongozi mkubwa? Nani? Hii nchi siyo ya wahuni bwashee.
Akili zako umeweka matrakoni?Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu
Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.
Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.
Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.
CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.
Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.
Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!
Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!
Yangu ni hayo!
Tatizo kubwa la CHADEMA, hakuna demokrasia pamoaja na kwamba kinaitwa chama cha demokrasia, mwenyekiti ana miaka zaidi ya 20, mazuzu bado hawaelewi tu. Pili ukabila, wachaga ni wakabila sana na hawawezi kujicontrol katika hilo, angalia vingozi wengi pale CHADEMA hata waliokuwa wanateuliwa ubunge viti maalum wengi wachaga. Taasis yoyote nchi hii kiongozi wa juu akiwa mchaga haifiki kokote lazima ife maana watanzania wakishagundua hukimbia. Wapi NCCR-MAGEUZI, TLP vinaishia kuwa vyama au taasisi za ukoo kama PRECISION AIR au IPP MEDIA. PRECISION AIR nenda kacheki wafanyakazi hasa wa juu ni wachaga kisa mmliki mchaga. Wachaga hawanaonagi hata aibu katika hilo. Watanzania kilichobaki na sisi tuwabague wapendeleane katika taasisi zao lakini siyo kuwapa nchi hawafai wabaguzi mno.Wewe MTU mmoja usiposaport chadema wengine watasaport! By the way Kuna Chama kama Chauma, Sau, jahazi asilia, nccr mageuzi, tadea, ACt nk kwanini usijiunge navyo ukaleta Mabadiliko? Tanzania ni nchi ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi na kila mtu ana haki ya kujiunga na Chama chochote akivitiwa na sera zake!
Kuliko kupoteza muda mwingi kuwananga watu ambao hata kauli y'ako moja hata kujiondoa hakuna impact yoyote jiunge navyo! Pathetic zao la community schools!
[emoji3]Naandika hapa na anayepinga apinge siwezi kupigia kura chadema mpaka nakufa ...Mtafanya makosa yote siwezi kupigia kura chadema mpaka kauli ya mwisho hata kiwe chama cha dola ya kiislamu wakiungana na chadema tu basi kwangu ni sumu.
Hv kweli mwaka 2020 mlidhani kuwa mtapewa nchi au kushinda chaguzi ule mbel ya dr jonh pombe maguli?Mimi kura yangu this time naipa CHADEMA
Huyo aliyeandika hapo juu ni muongo, mzandiki na mpiga ramli wa siasa majtaka
Kama CHADEMA ni threat kwa nchi. Ni kwa nini Msajili ama hiyo dola ambayo imemtuma hapa wasikifute chama hiko?
Mimi ninavyofahamu ni kwamba, CCM ndiyo wanaongoza kiharamu baada ya kuchafua uchaguzi mkuu 2020
kwa hiyo upinzani ni mbowe, Lisu na Lema tu? upinzani siyo watu ndugu badilika acha nongwaWapinzani familia zao wamezificha Marekani, zinahudumiwa na mabeberu
Una hasira na wachaga sio Bure imebidi nicheke kwa sauti! Chuki humuumiza mwenye nayo! Yani hii ndio Hoja haswaa!Tatizo kubwa la CHADEMA, hakuna demokrasia pamoaja na kwamba kinaitwa chama cha demokrasia, mwenyekiti ana miaka zaidi ya 20, mazuzu bado hawaelewi tu. Pili ukabila, wachaga ni wakabila sana na hawawezi kujicontrol katika hilo, angalia vingozi wengi pale CHADEMA hata waliokuwa wanateuliwa ubunge viti maalum wengi wachaga. Taasis yoyote nchi hii kiongozi wa juu akiwa mchaga haifiki kokote lazima ife maana watanzania wakishagundua hukimbia. Wapi NCCR-MAGEUZI, TLP vinaishia kuwa vyama au taasisi za ukoo kama PRECISION AIR au IPP MEDIA. PRECISION AIR nenda kacheki wafanyakazi hasa wa juu ni wachaga kisa mmliki mchaga. Wachaga hawanaonagi hata aibu katika hilo. Watanzania kilichobaki na sisi tuwabague wapendeleane katika taasisi zao lakini siyo kuwapa nchi hawafai wabaguzi mno.
Una hasira na wachaga sio Bure imebidi nicheke kwa sauti! Chuki humuumiza mwenye nayo! Yani hii ndio Hoja haswaa!Tatizo kubwa la CHADEMA, hakuna demokrasia pamoaja na kwamba kinaitwa chama cha demokrasia, mwenyekiti ana miaka zaidi ya 20, mazuzu bado hawaelewi tu. Pili ukabila, wachaga ni wakabila sana na hawawezi kujicontrol katika hilo, angalia vingozi wengi pale CHADEMA hata waliokuwa wanateuliwa ubunge viti maalum wengi wachaga. Taasis yoyote nchi hii kiongozi wa juu akiwa mchaga haifiki kokote lazima ife maana watanzania wakishagundua hukimbia. Wapi NCCR-MAGEUZI, TLP vinaishia kuwa vyama au taasisi za ukoo kama PRECISION AIR au IPP MEDIA. PRECISION AIR nenda kacheki wafanyakazi hasa wa juu ni wachaga kisa mmliki mchaga. Wachaga hawanaonagi hata aibu katika hilo. Watanzania kilichobaki na sisi tuwabague wapendeleane katika taasisi zao lakini siyo kuwapa nchi hawafai wabaguzi mno.
Mbona sio jambo la ajabu ni kawaida MAMBUZI kutowachagua binadamu wala kuchanganyika nao kwa sababu wanajua watachinjwaNaandika hapa na anayepinga apinge siwezi kupigia kura chadema mpaka nakufa ...Mtafanya makosa yote siwezi kupigia kura chadema mpaka kauli ya mwisho hata kiwe chama cha dola ya kiislamu wakiungana na chadema tu basi kwangu ni sumu.
Hakuna wabunge na madiwan wa chadema?Hao chadema wamewahi kuongoza lini ili uwafananishe na ccm iliyoongoza toka uhuru na imeshindwa.
😂😂😂Tambua bado ni minority ,bado wachanga sana kweny game .Swali langu nilimuuliza hata mleta hoja eventually akatoweka bila kujibu kwa usahihi!! Hapa umeleta hoja ya ukawa ambayo haina uhusiano na CDM individual wakati hoja inamzungumzia CDM individual!