Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Hivi hawa washawahi shika nchi wakaonesha uzalendo wao? Au tunabwabwaja tu, wasimege tunachomega?
Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
 
..familia ya Ssh nao wako Uarabuni.
Duh basi sawa kwa hii staili yako ya Jino kwa jino, bampa to bampa! We jamaa nimegundua ni mtu wa visasi! Ndo maana huwa sikufungi draft goli 20 maana nikikufunga huwa unataka tucheze hadi saa 8 usiku hadi urudishe goli zote!!

Tangu lini Bimkubwa Samia akaweka familia arabuni , kwa wajomba zake ni sawa ila watoto kama wale wa Tindo Lusse kwa hisani ya watu wa Marekani kwa Bimkubwa mi sijasikia!!
 
I'm smart to know that CCM has many problems but I'm also smart enough to know CHADEMA only is not the solution to those problems
Akili za kuvuka barabara na umaarufu wa debate secondary zinakufanya ujione smart! But you are not smart!
Ili kujua UKo smart waulize wanaokutazama na wanaokufahamu au angalia reaction ya GTS katika posts zako! Hakika wewe ni mbumbu ! Being smart should be defined by the social sorroundinh sio kujikweza mjinga mmoja wewe
 
Duh basi sawa kwa hii staili yako ya Jino kwa jino, bampa to bampa! We jamaa nimegundua ni mtu wa visasi! Ndo maana huwa sikufungi draft goli 20 maana nikikufunga huwa unataka tucheze hadi saa 8 usiku hadi urudishe goli zote!!

Tangu lini Bimkubwa Samia akaweka familia arabuni , kwa wajomba zake ni sawa ila watoto kama wale wa Tindo Lusse kwa hisani ya watu wa Marekani kwa Bimkubwa mi sijasikia!!

..miaka ya 90 wakati wa awamu ya Nkapa Lissu alikuwa akifanya kazi kwenye shirika linaitwa World Resources Institute iko Marekani.

..Sasa wakati akiishi huko ughaibuni ndio wakabahatika kupata watoto. Wakati Lissu alipokuwa Tanzania wanae walikuwepo hapa wakisoma shule za hapa nchini.

..Sheria za Marekani zinaelekeza kwamba mtoto akizaliwa ktk ardhi yao ana haki ya kuwa raia wa nchi hiyo.

..Watoto wa Lissu waliondoka Tanzania baada ya Baba yao kushambuliwa.

..Sasa ktk mazingira hayo kuna tatizo gani? Watanzania mmoja mmoja tunaathirika vipi na watoto wa Lissu kuwa raia wa Marekani?

NB:

..labda nikuulize, hivi Mwalimu angedunguliwa marisasi kama Tundu Lissu unadhani angeendelea na harakati za uhuru? Je, asingehamishia familia yake mahali salama?
 
Hv kweli mwaka 2020 mlidhani kuwa mtapewa nchi au kushinda chaguzi ule mbel ya dr jonh pombe maguli?

Mlidhani kuwa lissu anaweza kumshinda magufuli kweli kbsa kbsa ,kazi za magufuli zilitosha kbsa kuuza sera zake ndio maan haja zingatia sana uchaguzi ule alikjuwa kbsa kuwa watnzania wamemuelewa kazi zake nyingi nzuri

Kura za lissu ni za huruma tu za risasi ila siyo ya kumfanya amshinde magufulivation
Miaka yote ya nyuma kura yangu ilienda kwa chama changu CCM

Lakini mimi na wanaCCM wenzangu kwenye kata tuliyopo tumedhamiria kuwapatia upinzani kura zetu
 
Labda ungesema tusiwape nchi watanzania, tutafute vyama vya nje ndo vije vishike nchi hapo ningekuelewa.

Maana watu ni wale wale, leo wako CHADEMA kesho wako CCM n.k.

Tatizo letu siyo watu, siyo CHADEMA, Siyo CCM, Siyo Kinana wala Si Bashiru ila ni KATIBA na sheria nyingine mama. Kwa hiyo kama CCM kwa miaka 60 imeshindwa kutupa KATIBA BORA ni heri tuwape CHADEMA maana watatuletea KATIBA BORA au nzuri kiasi cha hii ya sasa.

Nchi inatakiwa iende tu bila kujali watu. Tunakosea sana kuangalia personalities...eti mtu kama Magufulu au kama Nani. Hatakiwa kuwa mtu bali katiba, sheria na kanuni za kuongoza nchi. Ili yeyote yule atakaye ingia mambo yaende.
Umeongea point kubwa sana lakini tatizo hata katiba ikiwa nzuri itaheshimiwa!,tunaona jinsi hii mbovu yenyewe inavyovunjwa na wakubwa na hakuna wa kuwaambia kitu
 
Hofu zitawafuna wajinga Mana ndio wanaoogopa mabadiliko
FB_IMG_16704232887702613.jpg
 
Back
Top Bottom