DOKEZO Dola zimeadimika, bei ya black market ni Tzs 3000-3200 kwa noti za $.50 & 100

DOKEZO Dola zimeadimika, bei ya black market ni Tzs 3000-3200 kwa noti za $.50 & 100

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tunaongoza kwa ulafi pia! Uibe trilioni 2, unazifanyia nini? Halafu iweje?

Unadhani mabara mengine hayakuwa na huo utajiri tulionao sisi?

Wametumia akili, udikteta na kutozingatia haki za binadamu wala demokrasia, wamesonga mbele, mbali sana!
Unahonga lc 300
 
nawashangaa sana watanzania kila unapotoa hoja ya matatizo ya nchi wanatokea walamba asali kama sio wao baba zao wanakuambia hali hii ya matatizo ni ulimwengu wote stupid, nenda dubai kama utaambiwa hakuna dollar, dollar zimejaa tatizo ni ufisadi ndio tatizo hata kenya ruto anakuambia alivyoingia urais kenyatta kabeba pesa yote benk ipo empty
Dubai unafananisha na Tzn? Productivity ya Dubai ni sawa na Tzn? Dubai ni Nchi Mji,Dubai Ina mafuta na gas,Dubai Ina watu wachache sana so mahitaji yake ni kidogo kuliko Tanzania.
 
Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.

Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.

Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-

Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Usirogwe kubadiki pesa kwa wanaosimama nje ya hizo sehemu maalum za kubadiki pesa, ni wezi wa kishirikina.
 
Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.

Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.

Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-

Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Uchumi unafunguliwa kwa maneno!
 
Tunaongoza kwa ulafi pia! Uibe trilioni 2, unazifanyia nini? Halafu iweje?

Unadhani mabara mengine hayakuwa na huo utajiri tulionao sisi?

Wametumia akili, udikteta na kutozingatia haki za binadamu wala demokrasia, wamesonga mbele, mbali sana!
Uko sahihi
 
nawashangaa sana watanzania kila unapotoa hoja ya matatizo ya nchi wanatokea walamba asali kama sio wao baba zao wanakuambia hali hii ya matatizo ni ulimwengu wote stupid, nenda dubai kama utaambiwa hakuna dollar, dollar zimejaa tatizo ni ufisadi ndio tatizo hata kenya ruto anakuambia alivyoingia urais kenyatta kabeba pesa yote benk ipo empty
Punguzeni chuki za kijinga kuadimika kwa $ hakuna uhusiano wowote na Samia na serikali, aliye sababisha $ kuadimika ni Marekani yenyewe amepunguza $ kwenye mzunguko wa dunia ili kupambana na mfumko wa bei kwenye nchi yake.

Pia baadhi ya biashara dunia imeanza kuendeshwa bila $ hivyo uhitaji wake kupungua hivyo wanahofia kuwa $ zitakuwa nyingi kuliko uhitaji kwenye mzunguko wa kibiashara duniani hivyo kusababisha thamani yake kushuka, hivyo kinacho endelea sasa ni Marekani analinda thamani ya pesa yake.

Alafu Dubai utaifananishaje na Tz aisee?
Dubai haiwezi kuwa na uhaba wa $ kwa sababu anafanya biashara ya mabilion ya $ na Marekani kila mwaka sasa niambie nchi yako inafanya biashara gani ya maana na Marekani?
Unaongelea ufisadi kwani ni lini ambapo nchi hii haijawahi kuwa na ufisadi? nyinyi si ndo huwa mnasema serikali ya kikwete ilikuwa imejaa ufisadi mbona $ haikuadimikaga kama sasa?
 
Punguzeni chuki za kijinga kuadimika kwa $ hakuna uhusiano wowote na Samia na serikali, aliye sababisha $ kuadimika ni Marekani yenyewe amepunguza $ kwenye mzunguko wa dunia ili kupambana na mfumko wa bei kwenye nchi yake.

Pia baadhi ya biashara dunia imeanza kuendeshwa bila $ hivyo uhitaji wake kupungua hivyo wanahofia kuwa $ zitakuwa nyingi kuliko uhitaji kwenye mzunguko wa kibiashara duniani hivyo kusababisha thamani yake kushuka, hivyo kinacho endelea sasa ni Marekani analinda thamani ya pesa yake.

Alafu Dubai utaifananishaje na Tz aisee?
Dubai haiwezi kuwa na uhaba wa $ kwa sababu anafanya biashara ya mabilion ya $ na Marekani kila mwaka sasa niambie nchi yako inafanya biashara gani ya maana na Marekani?
Unaongelea ufisadi kwani ni lini ambapo nchi hii haijawahi kuwa na ufisadi? nyinyi si ndo huwa mnasema serikali ya kikwete ilikuwa imejaa ufisadi mbona $ haikuadimikaga kama sasa?
Endelea kuwapiga msasa usichoke,,,,wasipokuelewa nitawashangaa.
 
Acha kutetea. Baba yako anampiga mama yako watu wanahoji kwann huyu mzee anampiga huyu mama wewe mtoto wake unasema sio mama yangu tu wamama wengi wanapigwa na wanaume zao, hivi unakuwa na akili timamu kusema hivyo?!

Hapa tunazungumzia crisis ya dollar katika uchumi wa Tanzania, wewe unakuja kufanya comparison as if tunashindanisha mataifa hapa. So kama Kenya wana the same issue ndio turelax na tusiiwajibishe serikali katika kutafuta mbinu ya haraka kutatua tatizo?!

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Haya kaifateni huko mnakoipata mtapewa.... Kalieni ikulu mpewe dola
 
Acha kutetea. Baba yako anampiga mama yako watu wanahoji kwann huyu mzee anampiga huyu mama wewe mtoto wake unasema sio mama yangu tu wamama wengi wanapigwa na wanaume zao, hivi unakuwa na akili timamu kusema hivyo?!

Hapa tunazungumzia crisis ya dollar katika uchumi wa Tanzania, wewe unakuja kufanya comparison as if tunashindanisha mataifa hapa. So kama Kenya wana the same issue ndio turelax na tusiiwajibishe serikali katika kutafuta mbinu ya haraka kutatua tatizo?!

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Unaishi nchi Gani?tatizo kitaaambo lilishaanza kuchukuliwa hatua.

Screenshot_20230221-101022.jpg
 
Hapo kwenye bank naomba kumjibia.

Ipo hivi-ikiwa dola imeadimika hata kama dola cash zipo bank hupewi wala huwezi kufanya transfer. Kwa sababu kwenye akaunti za bank kunakuwa hakuna dola kwenye vitabu vyao bali kuna dola kwenye akaunti za wateja....
Ili uweze kuchenji tzs zako upate dola basi ni lazima pia kuwe na wateja waliobadilisha dola kupata tzs. Bila hivyo mfumo hauruhusu.

Ni ngumu kueleweka lkn ndio ilivo.

Unaweza ukaambiwa bank hakuna dola lkn kiuhalisia cash dola zinakuwepo nyingi sn tu ila haziuziki kwa sababu zinakuwa hazipo kwenye mzunguko wa forex
Ila jamaa wewe ni muongo, unachangamsha jukwaa siyo?

Wewe unataka kulipia kitu china, unasema dollar 12,000 halafu unazunguka mjini kutafuta kubadilisha nataka nkuulize hivi,


Hivi huko unakotaka kulipia Bidhaa china unataka kulipa cash huku ukiwa bongo ?

Hakuna namna ya mfumo wa malipo china kama si kwa E-Transfer(Bank,Paypal,Apple pay,etc na hapo Nimeweka ambazo hazifanyi kazi bongo ila hapo kenya zinakubali)

-Kama unalipa Agency iliyo China Unaweza ukalipa kwa shillings kwenye Actual/Virtual mastercard mtandaoni halafu wao wata-convert kwa ratio ya siku husika(Sheria za nchi zinawabana kufanya transcation in both currency)

-Kama ni Benki si ukachukue transfer form utume na benki husika ndo iwalipe huko china.


Unakuja kutudanganya hapa kuwa umezunguka sijui wapi sijui wapi eti dollar hamna na unataka kulipa kitu china.


HATA KAMA UNATAKA KULIPA SHIPPING AGENT KAMA KINA SILENT OCEAN NA KILIMANJARO UNAWEZA KUWALIPA KWA TSH NA WAO WAKAKUPA RATE YA CONVERSION YA SIKU HIYO UKALIPA UKASEPA



ACHA UONGOOOO,NA KOMA KUDANGANYA UMMA WA WATANZANIA
 
Huyo unayemwambia ndio chanzo cha haya yote hivyo ni kazi Bure tu kumtaka afanye lolote.
 
kuna wakati samia alisema kenya haina dola ya matumizi miezi tatu .Hivi sasa tanzania wako kwa hio shida
 
Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.

Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.

Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-

Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.

Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.

Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.

Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-

Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Ninyi warusi wa kibaigwa na wavaa kobazi si ndio mlikuwa mnasema dollar imekufa , pumbavu na huo ni mwanzo ,US federal reserve wamepandisha interest reates tokea mwaka jana na wanaendelea kuongeza , mtaminywa mpaka akili ziwarudi na mjue USA ni nani na umuhimu wake katika dunia hii .
Thamani ya currencies nyingine itaendelea kushuka na USD dollar itaendelea kupaa thamani , na ni hivyo hivyo hata Marekani kwenyewe , Is federal reserve wanapopandisha interest rates za kwenye mabenki inaathiri mzunguko na upatikanaji wa USD dollar kwenye mabenki kutumika kama mikopo , savings au means of exchange that's means kuadimika kwa pesa ,hivyo hata makampuni yanayoongoza uzalishaji au hata wafanyakazi au hata kufilisika , ,maana makampuni yanaendeshwa kwa mikopo so hii ina implications kubwa sana kiuchumi na effects zake zinamgusa kila mtu , ukiona mjinga mmoja anataka dollar iadimike mpe middle finger
 
Sio bongo tu ni Dunia nzima, sahivi US kuprint karatasi zake anaogopa nchi nyingi sahivi zinapunguza dependency ya Dollar
Hakuna fala yeyote mwenye ubavu wa kuachana na US dollar , endelea kujidanganya ,
Sababu ya kuadimika kwa USD ni federal reserve kupandisha interest rates ili kupambana na mfumuko wa bei pale Marekani ,na ameanza kufanya hivyo tangia mwaka jana so kuadimika kwa pesa kinaanzia hapo ,ukiraise interest rates ya USD unasababisha deflation au kusinyaa kwa mzunguko wa pesa na ndio kinachotokea sasa hivi.
Sasa ikichangia na the fact that nchi za kijinga kama hizi zetu ambazo hazina reserve ya kutosha ya USD na tuna trade imbalance / deficit kubwa that's means tunaagiza zaidi kuliko tuunavyouza nje hilo lazima litokee
 
Back
Top Bottom