DOKEZO Dola zimeadimika, bei ya black market ni Tzs 3000-3200 kwa noti za $.50 & 100

DOKEZO Dola zimeadimika, bei ya black market ni Tzs 3000-3200 kwa noti za $.50 & 100

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nchi hii tuna import matakataka mengi yasiyokua na tija. Mfano uingizaji wa pikipiki hizi substandard ni muda muafaka kuzuia. Lazima kukomesha uagizaji wa vitu vinavyopatikana nchini ili kuwa na balance of trade. Watu wanaingiza mpaka furnitures kutoka nje wakati tuna miti na mbao za kutosha na mafundi wazuri. Huu ujinga wanaulea serikali yenyewe. Ban imports za matakataka yasiyo na faida.
Thank you brother. Tunaagiza hadi vitu ambavyo ilitakiwa vizalishwe hapa. Hapo ni lazima hii exchange currency ikate huko sokoni.



Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ila jamaa wewe ni muongo, unachangamsha jukwaa siyo?

Wewe unataka kulipia kitu china, unasema dollar 12,000 halafu unazunguka mjini kutafuta kubadilisha nataka nkuulize hivi,


Hivi huko unakotaka kulipia Bidhaa china unataka kulipa cash huku ukiwa bongo ?

Hakuna namna ya mfumo wa malipo china kama si kwa E-Transfer(Bank,Paypal,Apple pay,etc na hapo Nimeweka ambazo hazifanyi kazi bongo ila hapo kenya zinakubali)

-Kama unalipa Agency iliyo China Unaweza ukalipa kwa shillings kwenye Actual/Virtual mastercard mtandaoni halafu wao wata-convert kwa ratio ya siku husika(Sheria za nchi zinawabana kufanya transcation in both currency)

-Kama ni Benki si ukachukue transfer form utume na benki husika ndo iwalipe huko china.


Unakuja kutudanganya hapa kuwa umezunguka sijui wapi sijui wapi eti dollar hamna na unataka kulipa kitu china.


HATA KAMA UNATAKA KULIPA SHIPPING AGENT KAMA KINA SILENT OCEAN NA KILIMANJARO UNAWEZA KUWALIPA KWA TSH NA WAO WAKAKUPA RATE YA CONVERSION YA SIKU HIYO UKALIPA UKASEPA



ACHA UONGOOOO,NA KOMA KUDANGANYA UMMA WA WATANZANIA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwamba hapa alichemka kwakweli.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ila jamaa wewe ni muongo, unachangamsha jukwaa siyo?

Wewe unataka kulipia kitu china, unasema dollar 12,000 halafu unazunguka mjini kutafuta kubadilisha nataka nkuulize hivi,


Hivi huko unakotaka kulipia Bidhaa china unataka kulipa cash huku ukiwa bongo ?

Hakuna namna ya mfumo wa malipo china kama si kwa E-Transfer(Bank,Paypal,Apple pay,etc na hapo Nimeweka ambazo hazifanyi kazi bongo ila hapo kenya zinakubali)

-Kama unalipa Agency iliyo China Unaweza ukalipa kwa shillings kwenye Actual/Virtual mastercard mtandaoni halafu wao wata-convert kwa ratio ya siku husika(Sheria za nchi zinawabana kufanya transcation in both currency)

-Kama ni Benki si ukachukue transfer form utume na benki husika ndo iwalipe huko china.


Unakuja kutudanganya hapa kuwa umezunguka sijui wapi sijui wapi eti dollar hamna na unataka kulipa kitu china.


HATA KAMA UNATAKA KULIPA SHIPPING AGENT KAMA KINA SILENT OCEAN NA KILIMANJARO UNAWEZA KUWALIPA KWA TSH NA WAO WAKAKUPA RATE YA CONVERSION YA SIKU HIYO UKALIPA UKASEPA



ACHA UONGOOOO,NA KOMA KUDANGANYA UMMA WA WATANZANIA
Kila mtu na utashi wake na ujuzi na weledi wake, kuna watu hadi leo wanatumiana barua kupitia njia ya posta
 
Kwann China isitoe tamko bidhaa zake zinunuliwe kwa yuan badala ya US

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Na wao wanahitaji dollar ili kupata faida na pia kuwa na reserve kubwa ya dollar inayowasaidia katika international transactions.

Ila china wamewekeza sana katika kununua gold. Kwasababu soon gold itaamza kureplace dollar kwenye international transactions. Sisi tunauza gold yetu kwa matani.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo ukilipia kitu amazon kupitia Mpesa visa card itabidi Voda wawapelekee Cash amazon? 😄😄😄😄😄😄
ukitumia masterCard/visaCard ya Voda, je unajua miamala inapitia BancABC ?
Voda wanadeposit funds ( in USD ) kwa hiyo benki ambazo weye ndiyo unanunulia Amazon, local currency yako inaenda Voda
 
Athari ya Vita ya Ukraine hiyo.

Bora uku afrika,
uko ulaya ndo kumechafuka balaa

Jana German wametangaza recession
Uingereza mfumuko wa Bei haushikiki
USA hali tete mabenki yanafilisika daily

Sahv wenye nafuu duniani labda Ni Russia na waarabu wa mAfuta

maana wao ndo wamezishikilia injini za uchumi (fuels) wanazichezesha watakavyo kufidia Hali mbaya ya uchumi duniani.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wakati sisi tunauza za kwetu kwa bei rahisi kabisa sawa na bure. Hii inchi ina watu wanajipa nafasi ya uongozi ila ni majinga aisee.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kama una account bank yenye hiyo hela kwa Shilingi, waambie unaowalipa huko china wakupe account namba za benk zao (bank details).

Ukienda bank kwako hapa Bongo, waambie wakupe form ya Bank transfer, waambie unataka kulipa hela China. Watakupa rate ambayo utajaza baada ya hapo Bank yako itabadilisha yenyewe kwa rate ya siku hiyo na kulipa Bank ya China.

Pole sana kwa Changamoto....
Possible kkwa india ?
 
Japo Watalii Kwa mwaka ulioishia walifika 1.45Milions ila hao ni kidogo sana..

Mwaka huu wanatarajiwa kugika.mil.2 Kwa mara ya kwanza ila Bil.11 ni hela kiduchu sana ya kuleta matokeo makubwa kwenye Utalii?

Egypt huko wanaweka matilioninikinwafikishe Watalii mil.15 by 2025.
Ile ya Peeeeeter
 
Tangu muda mrefu lakini nimeona pale unaponunua bidhaa mtandaoni dolla moja ni sawa 3500

Sasa kama na huko maduka ya kubadilishia pesa dolla imefikia huko nadhani sasa tunaenda Zimbabwe
Acha uongo mkuu.
Wenzio kila siku tunafanya manunuzi online. Dollar vs shilling bado haijafika huko. Mfano kwa leo 1USD = 2,360.0002 TSH

Kitu ambacho kinaumiza transaction fee za mabenki ni kubwa mfano Equity wana kata 6% ya muamala unaotaka kufanya.
 
Kinachouma zaidi ni kuwa Rais analitambua hilo na hajalifanyia kazi maana lazima Waziri wa Fedha ambaye ni Makamu alihusika
Rais tunamashaka sana na washauri wake wanamwambia nini na at the same time elimu yake juu ya uchumi ni questionable.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.

Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.

Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-

Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Bank kutoa dola zako wanazingua
 
Japo Watalii Kwa mwaka ulioishia walifika 1.45Milions ila hao ni kidogo sana..

Mwaka huu wanatarajiwa kugika.mil.2 Kwa mara ya kwanza ila Bil.11 ni hela kiduchu sana ya kuleta matokeo makubwa kwenye Utalii?

Egypt huko wanaweka matilioninikinwafikishe Watalii mil.15 by 2025.
Unaweka bilioni 7 ili kuzalisha bilioni 11 za kupika?

Hata hivyo boss, kweli maeneo ya utalii tulionao, tukazalishe bilioni 11?

Kuna visiwa vimetuacha mbali mno kiuchumi, mno! Wanategemea utalii tu.
 
Back
Top Bottom