ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Unahonga lc 300Tunaongoza kwa ulafi pia! Uibe trilioni 2, unazifanyia nini? Halafu iweje?
Unadhani mabara mengine hayakuwa na huo utajiri tulionao sisi?
Wametumia akili, udikteta na kutozingatia haki za binadamu wala demokrasia, wamesonga mbele, mbali sana!
Dubai unafananisha na Tzn? Productivity ya Dubai ni sawa na Tzn? Dubai ni Nchi Mji,Dubai Ina mafuta na gas,Dubai Ina watu wachache sana so mahitaji yake ni kidogo kuliko Tanzania.nawashangaa sana watanzania kila unapotoa hoja ya matatizo ya nchi wanatokea walamba asali kama sio wao baba zao wanakuambia hali hii ya matatizo ni ulimwengu wote stupid, nenda dubai kama utaambiwa hakuna dollar, dollar zimejaa tatizo ni ufisadi ndio tatizo hata kenya ruto anakuambia alivyoingia urais kenyatta kabeba pesa yote benk ipo empty
Nenda NMB wana hiyo huduma
Usirogwe kubadiki pesa kwa wanaosimama nje ya hizo sehemu maalum za kubadiki pesa, ni wezi wa kishirikina.Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.
Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.
Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-
Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Uchumi unafunguliwa kwa maneno!Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.
Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.
Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-
Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Kujitegemea kwa kuzalisha wenyewe bidhaa na huduma tunazohitaji.Mbinu mbadala ya kuepukana na hili la mfumuko wa bei ni ipi mkuu?
Marekani ipo, au sio sehemu ya dunia?Hii sio ishu ya Samia ni dunia nzima dola imekuwa adimu, nenda hapo Kenya hali ni mbaya zaidi.
Uko sahihiTunaongoza kwa ulafi pia! Uibe trilioni 2, unazifanyia nini? Halafu iweje?
Unadhani mabara mengine hayakuwa na huo utajiri tulionao sisi?
Wametumia akili, udikteta na kutozingatia haki za binadamu wala demokrasia, wamesonga mbele, mbali sana!
Punguzeni chuki za kijinga kuadimika kwa $ hakuna uhusiano wowote na Samia na serikali, aliye sababisha $ kuadimika ni Marekani yenyewe amepunguza $ kwenye mzunguko wa dunia ili kupambana na mfumko wa bei kwenye nchi yake.nawashangaa sana watanzania kila unapotoa hoja ya matatizo ya nchi wanatokea walamba asali kama sio wao baba zao wanakuambia hali hii ya matatizo ni ulimwengu wote stupid, nenda dubai kama utaambiwa hakuna dollar, dollar zimejaa tatizo ni ufisadi ndio tatizo hata kenya ruto anakuambia alivyoingia urais kenyatta kabeba pesa yote benk ipo empty
Nako kuna limit,ukifanya purchasing kiwango kikubwa inagomaMtu anaiba Tshs. Trillion 2, anazibadilisha kuwa dollar halafu anaenda kuficha nje ya nchi, unategemea nini?
Ila fanya malipo online, pesa inajibadilisha yenyewe.
Dola ngapi?Me juzi nimebadilisha pale JNIA Terminal 2 CRDB
Endelea kuwapiga msasa usichoke,,,,wasipokuelewa nitawashangaa.Punguzeni chuki za kijinga kuadimika kwa $ hakuna uhusiano wowote na Samia na serikali, aliye sababisha $ kuadimika ni Marekani yenyewe amepunguza $ kwenye mzunguko wa dunia ili kupambana na mfumko wa bei kwenye nchi yake.
Pia baadhi ya biashara dunia imeanza kuendeshwa bila $ hivyo uhitaji wake kupungua hivyo wanahofia kuwa $ zitakuwa nyingi kuliko uhitaji kwenye mzunguko wa kibiashara duniani hivyo kusababisha thamani yake kushuka, hivyo kinacho endelea sasa ni Marekani analinda thamani ya pesa yake.
Alafu Dubai utaifananishaje na Tz aisee?
Dubai haiwezi kuwa na uhaba wa $ kwa sababu anafanya biashara ya mabilion ya $ na Marekani kila mwaka sasa niambie nchi yako inafanya biashara gani ya maana na Marekani?
Unaongelea ufisadi kwani ni lini ambapo nchi hii haijawahi kuwa na ufisadi? nyinyi si ndo huwa mnasema serikali ya kikwete ilikuwa imejaa ufisadi mbona $ haikuadimikaga kama sasa?
Kaichukua marekaniMarekani ipo, au sio sehemu ya dunia?
Haya kaifateni huko mnakoipata mtapewa.... Kalieni ikulu mpewe dolaAcha kutetea. Baba yako anampiga mama yako watu wanahoji kwann huyu mzee anampiga huyu mama wewe mtoto wake unasema sio mama yangu tu wamama wengi wanapigwa na wanaume zao, hivi unakuwa na akili timamu kusema hivyo?!
Hapa tunazungumzia crisis ya dollar katika uchumi wa Tanzania, wewe unakuja kufanya comparison as if tunashindanisha mataifa hapa. So kama Kenya wana the same issue ndio turelax na tusiiwajibishe serikali katika kutafuta mbinu ya haraka kutatua tatizo?!
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Unaishi nchi Gani?tatizo kitaaambo lilishaanza kuchukuliwa hatua.Acha kutetea. Baba yako anampiga mama yako watu wanahoji kwann huyu mzee anampiga huyu mama wewe mtoto wake unasema sio mama yangu tu wamama wengi wanapigwa na wanaume zao, hivi unakuwa na akili timamu kusema hivyo?!
Hapa tunazungumzia crisis ya dollar katika uchumi wa Tanzania, wewe unakuja kufanya comparison as if tunashindanisha mataifa hapa. So kama Kenya wana the same issue ndio turelax na tusiiwajibishe serikali katika kutafuta mbinu ya haraka kutatua tatizo?!
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ila jamaa wewe ni muongo, unachangamsha jukwaa siyo?
Wewe unataka kulipia kitu china, unasema dollar 12,000 halafu unazunguka mjini kutafuta kubadilisha nataka nkuulize hivi,
Hivi huko unakotaka kulipia Bidhaa china unataka kulipa cash huku ukiwa bongo ?
Hakuna namna ya mfumo wa malipo china kama si kwa E-Transfer(Bank,Paypal,Apple pay,etc na hapo Nimeweka ambazo hazifanyi kazi bongo ila hapo kenya zinakubali)
-Kama unalipa Agency iliyo China Unaweza ukalipa kwa shillings kwenye Actual/Virtual mastercard mtandaoni halafu wao wata-convert kwa ratio ya siku husika(Sheria za nchi zinawabana kufanya transcation in both currency)
-Kama ni Benki si ukachukue transfer form utume na benki husika ndo iwalipe huko china.
Unakuja kutudanganya hapa kuwa umezunguka sijui wapi sijui wapi eti dollar hamna na unataka kulipa kitu china.
HATA KAMA UNATAKA KULIPA SHIPPING AGENT KAMA KINA SILENT OCEAN NA KILIMANJARO UNAWEZA KUWALIPA KWA TSH NA WAO WAKAKUPA RATE YA CONVERSION YA SIKU HIYO UKALIPA UKASEPA
ACHA UONGOOOO,NA KOMA KUDANGANYA UMMA WA WATANZANIA
Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.
Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.
Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-
Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Ninyi warusi wa kibaigwa na wavaa kobazi si ndio mlikuwa mnasema dollar imekufa , pumbavu na huo ni mwanzo ,US federal reserve wamepandisha interest reates tokea mwaka jana na wanaendelea kuongeza , mtaminywa mpaka akili ziwarudi na mjue USA ni nani na umuhimu wake katika dunia hii .Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.
Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.
Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-
Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Hakuna fala yeyote mwenye ubavu wa kuachana na US dollar , endelea kujidanganya ,Sio bongo tu ni Dunia nzima, sahivi US kuprint karatasi zake anaogopa nchi nyingi sahivi zinapunguza dependency ya Dollar