Dola zimeadimika kwasababu wageni wanavuna fedha za miradi kuliko wazawa

Tukitaka wazawa wapewe kazi, waaminiwe na mabenki ya ndani ili wakopesheke. Short of that ni ngumu sana, mtu akikufadhili atakupa masharti yake na lazima uyatimize. Ila ukiwa unafinance miradi kwa fedha zako(kupitia mabenki yako) mtu hawezi kukupa masharti ya wapi uchukue materials, labour force(skilled/unskilled) na mwishowe hutawalipa kwa fedha za kigeni.
 
Hivi Fedha zinazokopwa kwa ajili ya hii miradi ya maendeleo si inakuwa kwa USD?
 
Sisiemu hoyeee....
 
Sema maliza ww ni Muongo. Toa ushahidi, watu wanashindwa kufanya kazi Mitandaoni shida dolla. Nyie watu wa dar mnaoishi kimara baruti na kupanda mwendokasi mnaona mnajua kila kitu nyie. Njoo na fact na sisi tuishio nzega tuje na zetu na kazi za mitandaoni.
 
Angekua anaonyesha njia usingekuja kulalamika huku
Fahamu kila kitu kipo chini ya ccm
Ndo maana nasemaga machawa hamnaga akili
Hivi unajua hii taarifa imetoka hewani Kwa sababu zipi? Ni baada ya Serikali ya Mama kuamua kubadili Hali mbovu ya awali na kuonesha wapi tunakwama.

Hilo la wakandarasi is over,Bado la kuzuia importation ya maziwa na Mafuta
 
Nimependa hoja yako, lakini sababu ya kupungukiwa ni sababu ya low seasonal inflow kutoka katika sekta hizo au kuna la zaidi?

Hivi inawezekana nchi ikawa na high inflow throughout the year?
Low and high seasonal inflow ni kweli zipo ila wanasiasa wetu wanatumia hiyo kama loophole ya kujitetea kwa kutowajibika
 
Ila hawa wakandarasi wa ndani ni shida kuna njia wametengeneza Dodoma basi ni mashimo tu na lami inapotea ukipita unaweza kusema lami ya miaka 30 nyuma kumbe hata mwaka bado. Kuna shida sana kwenye hili lakini naamini kama wataleta ushindani wa quality watafanya sana kazi. Vifaa pia changamoto kwa maana mitaji yao midogo. Lakini kubwa ubora wa kazi zao wanashida sana, sasa sijui kusudi ili wa save pesa au ndio uwezo wao umefika mwisho.
 
Siku nyingine usiwe una quote watu kudhihirisha ujinga ulionao. Una quote watu halafu hujui ulichoandika.
Endelea kusoma umbeya Jamii forum maana hata huelewi kuhusu making money online.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…