Unafikiri wachina wanatoa pesa zao Bila memorandum of understanding,Sababu HAWANA PESA km Wakandarasi wa NJE Wakandarasi wa Ndani wanategemea wapewe Pesa NDIO wafanye kazi km Pesa hakuna Kazi inadoda Ila wa NJE hata km Pesa haijaingia wanatumia za KWAO huku wakisubiria Pesa iingie ilimradi mradi usiishie NJIANI
NDIO sijakataa MoU inahusika Ila Mradi Si unakamilika au unataka kusemaje?Unafikiri wachina wanatoa pesa zao Bila memorandum of understanding,
Wao Sio wajinga , msije mkasema wamejenga chini ya kiwango.
Na hizo pesa zao Hua kuna RIBA, Ndio maana wachina wanakimbilia kufidia ujenzi, mchina Sio mjinga afidie pesa kwani hii π Nchi πΉπΏ ni yake.
Wachina Wana benki zao hapo posta
Kama huna dola hiyo ni shauri yako; mama kafungulia nchi kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake! Refusha kamba yako upate dola.Kila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi.
Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika Kwa Dola Nchini no hizo hapa π
1. Kuwapa kazi za Ujenzi wakandarasi wa kigeni badala ya wazawa Kwa visingizio vya hawana uwezo na uzoefu(wageni hulipwa Kwa Dola)
2. Kuagiza bidhaa nyingi ambazo tunaweza Kuzalisha wenyewe ndani ya mwaka eg maziwa,ngano,Mafuta ya kula, sabuni, vyakula vya mifugo, mbegu nk
3. Kukwamisha uwekezaji kutoka Nje kutokana na mitizamo ya siasa za ujamaa(kusema Nchi imeuzwa Kwa Waarabu,kuwa na sera ambazo hazitabiriki,Urasimu wa Kiserikali na Rushwa) eg miradi ya Lindi LNG na Liganga imekwama kutokana na siasa uchwara.
---
WAGENI WAVUNA FEDHA ZA MIRADI KULIKO WAZAWA
SERIKALI imesema asilimia kubwa ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inawanufaisha wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema bungeni Dodoma kuwa sababu kubwa inayochangia hali hiyo ni uwezo mdogo wa makandarasi wa ndani wa kifedha, mitambo na wataalamu hivyo inakuwa vigumu kwao kushindana kwenye zabuni za kazi na makandarasi kutoka nje hasa kampuni za Kichina.
Bashungwa amesema hayo akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25 bungeni Dodoma jana. Alisema kwa mujibu wa takwimu za Bodi ya Usajili wa Makandarasi, kati ya miradi 36,839, wazawa walitekeleza miradi 35,351 sawa na asilimia 95.9 ya miradi hiyo.
Hata hivyo, Bashungwa amesema miradi iliyotekelezwa na wazawa ni midogomidogo yenye thamani ya Sh trilioni 23.749, sawa na asilimia 38.5 ya thamani ya miradi yote iliyosajiliwa na kutekelezwa katika kipindi hicho ambayo ni Sh trilioni 61.638.
βHivyo, makandarasi wa nje ambao ni takribani asilimia 4.1 walitekeleza miradi michache yenye thamani kubwa (asilimia 61.5 ya thamani ya miradi yote),β amesema Bashungwa.
Kwa mujibu wake, kuna kampuni 14,800 za ndani za makandarasi, za ushauri wa wahandisi ni 252 na kampuni za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi ni 461.
Chanzo: Habari Leo
My Take
Naunga mkono wazo la Bashungwa kuanza kuwaamini Wakandarasi Wazawa.Sheria hii isiishie Wizara ya Ujenzi pekee Bali Taasisi zote.Tanzania sio Mali ya Wachina pekee.
Wewe unayetengeneza hela, unadhani ile ni point unaileta kwenye kadamnasi ya wattu, zile si story kabisa are you seriousSiku nyingine usiwe una quote watu kudhihirisha ujinga ulionao. Una quote watu halafu hujui ulichoandika.
Endelea kusoma umbeya Jamii forum maana hata huelewi kuhusu making money online.
Utaambiwa hilo ni sera ya marekan inayo lenga kupungaza usd kwenye mzunguko .hapa zinakopwa kutoka nje wajanja wanakuja kuzivuna kwa kazi za kawaida mnoKila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi.
Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika Kwa Dola Nchini no hizo hapa π
1. Kuwapa kazi za Ujenzi wakandarasi wa kigeni badala ya wazawa Kwa visingizio vya hawana uwezo na uzoefu(wageni hulipwa Kwa Dola)
2. Kuagiza bidhaa nyingi ambazo tunaweza Kuzalisha wenyewe ndani ya mwaka eg maziwa,ngano,Mafuta ya kula, sabuni, vyakula vya mifugo, mbegu nk
3. Kukwamisha uwekezaji kutoka Nje kutokana na mitizamo ya siasa za ujamaa(kusema Nchi imeuzwa Kwa Waarabu,kuwa na sera ambazo hazitabiriki,Urasimu wa Kiserikali na Rushwa) eg miradi ya Lindi LNG na Liganga imekwama kutokana na siasa uchwara.
---
WAGENI WAVUNA FEDHA ZA MIRADI KULIKO WAZAWA
SERIKALI imesema asilimia kubwa ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inawanufaisha wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema bungeni Dodoma kuwa sababu kubwa inayochangia hali hiyo ni uwezo mdogo wa makandarasi wa ndani wa kifedha, mitambo na wataalamu hivyo inakuwa vigumu kwao kushindana kwenye zabuni za kazi na makandarasi kutoka nje hasa kampuni za Kichina.
Bashungwa amesema hayo akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25 bungeni Dodoma jana. Alisema kwa mujibu wa takwimu za Bodi ya Usajili wa Makandarasi, kati ya miradi 36,839, wazawa walitekeleza miradi 35,351 sawa na asilimia 95.9 ya miradi hiyo.
Hata hivyo, Bashungwa amesema miradi iliyotekelezwa na wazawa ni midogomidogo yenye thamani ya Sh trilioni 23.749, sawa na asilimia 38.5 ya thamani ya miradi yote iliyosajiliwa na kutekelezwa katika kipindi hicho ambayo ni Sh trilioni 61.638.
βHivyo, makandarasi wa nje ambao ni takribani asilimia 4.1 walitekeleza miradi michache yenye thamani kubwa (asilimia 61.5 ya thamani ya miradi yote),β amesema Bashungwa.
Kwa mujibu wake, kuna kampuni 14,800 za ndani za makandarasi, za ushauri wa wahandisi ni 252 na kampuni za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi ni 461.
Chanzo: Habari Leo
My Take
Naunga mkono wazo la Bashungwa kuanza kuwaamini Wakandarasi Wazawa.Sheria hii isiishie Wizara ya Ujenzi pekee Bali Taasisi zote.Tanzania sio Mali ya Wachina pekee.
Miradi inakamalika, lkn BOT na CAG wakifunga accounts mzigo unaelemeaa debt, NCHI inapata hasara.NDIO sijakataa MoU inahusika Ila Mradi Si unakamilika au unataka kusemaje?
Watoto wenu Wana pelekwa jkt kuvalishwa vipishootiUtaambiwa hilo ni sera ya marekan inayo lenga kupungaza usd kwenye mzunguko .hapa zinakopwa kutoka nje wajanja wanakuja kuzivuna kwa kazi za kawaida mno
Dah umetumiw lugha ngumu sanaLabda kandarasi ya kutomb@
Mkuu tunakopa Kwa USD dollars, na foreign contractors like china, turkey etc wanalipwa Kwa USD dollars, hawa foreign contractors hawakubali kulipwa Kwa TSH, SS mchina akilipwa TSH ataitumiaje kwao.Mikopo tunayokopa kwani tunalipa kwa TZ SHILLINGI? after 100yrs hiyo mikopo + riba na kuporomoka Kwa value ya tshillingi unafikiri wajukuu zetu watakuaje kama sio SLAVE WA AMERICAN DOLLAR.
Msoma umbeya siku zote huwa anajulikana. Hana hoja zaidi kujibu zaidi ya muongo, hapana, ndiyo. Hapo amemalizaWewe unayetengeneza hela, unadhani ile ni point unaileta kwenye kadamnasi ya wattu, zile si story kabisa are you serious
kwa lugha rahisi hiyo hoja ya fedha za kigeni zinaishia kulipa wakandarasi wa nje haina nguvu.Ndio na zinarudi Kwa hao hao wakandarasi wa Nje
πππππYou don't sound like one umeropoka tu. Muongo wewe Muongo mkubwa, Dollar ipo na inafanya kazi na inapatikana. Acha kuropokaMsoma umbeya siku zote huwa anajulikana. Hana hoja zaidi kujibu zaidi ya muongo, hapana, ndiyo. Hapo amemaliza
Ungekuwa unafanya making money online usingejibu hivyo maana unajua nini kinaendelea. Wewe na wenzako mnatakiwa mjibiwe hivyo ili ujue dollars nyingi sana zinanipita.
Hapo ulipo usikute hujui hata nini maana ya Paypalπππππ
Mkuu tunakopa Kwa USD dollars, na foreign contractors like china, turkey etc wanalipwa Kwa USD dollars, hawa foreign contractors hawakubali kulipwa Kwa TSH, SS mchina akilipwa TSH ataitumiaje kwao.
So we Left nothing in our pocket
Haina Nguvu? Unakijua unachoongea? Pili unajua maana ya kuwapa wageni kazi? Yaani 70% wageni na 30% wazawa.kwa lugha rahisi hiyo hoja ya fedha za kigeni zinaishia kulipa wakandarasi wa nje haina nguvu.
Msoma umbeya utamjua tu. Jifunze kutengeneza pesa online kuliko kuhangaika na kusoma umbeya kwenye mitandao ya kijamii na kubishana na watu ovyo.πππππYou don't sound like one umeropoka tu. Muongo wewe Muongo mkubwa, Dollar ipo na inafanya kazi na inapatikana. Acha kuropoka