Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Yani umekaa serious unaandika uongo kabsa. So dunia nzima BOT ndio imefanya dola ishuke?Ni kweli Dollar imeanza kushuka na shilingi ya kitanzania imeanza kuimarika hi kwa sababu kuu mbili
1. BOT ilikua na mnada wa hadhara wa dola na ilinunua dola za kutosha ili kukidhi manunuzi mbalimbali
2. Mapema mwezi 11 serikali ilianza kununua dhahabu ambayo itaiwezesha serikali kuuza na kupata pesa za kigeni moja kwa moja. Serikali kununua dhahabu ilitakiwa kuanza hili muda mrefu sana ili kupambana na upungufu wa pesa za kigeni, ila tunashukuru kwa kuchukua hatua
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Mwaka huu bodi ya korosho ikitanganza kuanza mnada wa kununua korosho tafsiri yake mwaka Jana hawakununua koroshoa?Hili tangazo ni la mwaka 2023?
Maelezo hayo ya benki hiyo yanakuja ikiwa ni siku nne tangu Tume ya Madini itangaze kuwa wachimbaji wakubwa na wauzaji wa dhahabu wanaotaka kuuza nje ya nchi wanatakiwa kutenga asilimia 20 ya madini hayo kwa ajili ya kuiuzia BoT.
Uamuzi huo ulifanywa na Serikali baada ya kufanyika maboresho katika Sheria ya Madini kufuatia kutungwa kwa Sheria ya Fedha ya mwaka 2024/25.
BoT kununua dhahabu kwa bei ya soko la dunia - Nukta Habari
Wauzaji wa dhahabu watapata punguzo la ada litakalopunguza maumivu ya ufanyaji biashara.nukta.co.tz
Hii iliyonunuliwa 2023 ilikopwa?Acha kupotosha 2023 wakati sheria ya madini imepitishwa mwaka 2024
BoT kununua dhahabu kwa bei ya soko la dunia - Nukta Habari
Wauzaji wa dhahabu watapata punguzo la ada litakalopunguza maumivu ya ufanyaji biashara.nukta.co.tz
Ni kweli kabisa, hawa wakina mwigulu walilala sana, gold reserve inatakiwa iwe kubwa pale Bot Ili kuimarisha shilingi, mabalozi wote Duniani watafute masoko ya bidhaa zetu Ili kuongeza export. Raisi asiwachekee Wala rushwa kama anavyowalea sasa.Ni kweli Dollar imeanza kushuka na shilingi ya kitanzania imeanza kuimarika hi kwa sababu kuu mbili
1. BOT ilikua na mnada wa hadhara wa dola na ilinunua dola za kutosha ili kukidhi manunuzi mbalimbali
2. Mapema mwezi 11 serikali ilianza kununua dhahabu ambayo itaiwezesha serikali kuuza na kupata pesa za kigeni moja kwa moja. Serikali kununua dhahabu ilitakiwa kuanza hili muda mrefu sana ili kupambana na upungufu wa pesa za kigeni, ila tunashukuru kwa kuchukua hatua
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Uongo huu."Serikali kununua dhahabu ilitakiwa kuanza hili muda mrefu sana" KKumbuka hili alilifanya Ali hassan Mwinyi wakati akiwa Rais. Kwa bahati mbaya Mkapa akalifuta. Huenda hili likawa endelevu.
Biashara tuwaachie waliozaliwa kwenye biashara.
Wewe kununu gold kunashusha vip thamani ya dollar??? hivi mnajua mnachobishana nyie?? Semeni tumeuza dhahabu tumepata dollar ya kutosha... kununua kitu hakukuzi thamani yako ya pesa.Hii comment sijaielewa. Nimekuambia mwaka Jana tulinunua pia gold, why dollar haikushuka? Hapa jibu straight maana ulichojibu sijaelewa
Yani matajirii kama mo washanunua za kutosha wanajua itabounce back sio mudaa...!Nunua dollar laki 1 tunza kuanzia mei utauza pesa refu
Taarifa yako Inaonesha kuwa Bot ilikuwa imefanikiwa kununua 418kg kwa almost mwakaHii iliyonunuliwa 2023 ilikopwa?
Kweli kaka. Na wale wa kufanya subscription hii ndio time. 😀Ila ndo muda mzuri wa kununua magari Sasa. Nasubiri kuona meli kuanzia January zikishusha vifurushi vipya vya mabas
Soma na uelewe usikurupuke. Kwa nn huwa hamsomi mnakimbilia kureply?????Wewe kununu gold kunashusha vip thamani ya dollar??? hivi mnajua mnachobishana nyie?? Semeni tumeuza dhahabu tumepata dollar ya kutosha... kununua kitu hakukuzi thamani yako ya pesa.
Kumbe hata hujui mwaka huu kulikuwa na marekebisho ya sheria ya madini ambayo inamlazimisha muuzaji kuuza 20% ya dhahabu yake BotHii iliyonunuliwa 2023 ilikopwa?
Bado hoja yangu iko pale pale.. Kununua dhahabu kule kununua dollar??? kipi ni kipi??Soma na uelewe usikurupuke. Kwa nn huwa hamsomi mnakimbilia kureply?????
Huyo amesema BOT walinunua gold mwezi wa 7 ndio umefanya dollar kushuka. Mm ndio nikamuuliza mbona mwaka jana BOT walinunua dollar lakini haikushuka. Hapo ndio tunabishana yeye anasema mwaka Jana BOT hawakununua dollar
Usikurupuke, muwe mnasoma kwanza
Kwanza ulisema kununua tumeanza mwaka huu, hapo nadhani umejirekebisha mwenyewe maana ulianza kubisha.Taarifa yako Inaonesha kuwa Bot ilikuwa imefanikiwa kununua 418kg kwa almost mwaka
Lakina hapo chini nimekuletea taarifa ya mwezi oktoba tu walipofanikiwa kununua Zaid ya kg 800 Sasa kwahiyo unaposema mwaka jana Bot ilinunua dhahabu Zaid ya mwaka huu unataka kutuambia 400 na 800 ipi kubwa
Aidha, amesema kufuatia marekebisho ya sheria yaliyofanywa mwezi Julai na utekelezaji wake kuanza Oktoba mwaka huu, katika kipindi cha mwezi Oktoba 2024 peke yake, BoT iliweza kununua 872.05 kg na kuchangia hifadhi ya fedha za kigeni kwa $74.04 milioni.
Data za manunuzi zinapatikana BotHiki ulichoweka umekielewa kweli? Sijui umetoa wapi. Soma hiyo table na soma maelezo hapo mwanzo mwaka huu 15,000mil + from previous year 13,000mil+
Lakini kwenye table 2023 inaonyesha ni 7,000mil+
Anyway, kwa trend ya export hili anguko lingekuwepo toka miaka na miaka maana export huwa haisimami bali huongezeka kila mwaka(covid year excluded)
View attachment 3174499
Oyaa kuwa sasa kuelewa, hayo maswali unaniulizaje Mimi badala ya huyo aliyesema hayo? Mm mwenyewe namuhoji kwa nn aseme hivyo, alafu ww unanaiuliza tena mm? Ndio maana nakuambia acha kukurupuka soma kwa utulivu. Unachoniuliza mm ndio nachomuuliza huyo.Bado hoja yangu iko pale pale.. Kununua dhahabu kule kununua dollar??? kipi ni kipi??
Unanieleza kitu ambacho nakijua. Hiyo link ya BOT umeweka sijaelewa. Nenda kwenye sehemu husika screenshot weka. Unaweka link ya jumla ambayo hata wewe huwezi kupitia kila kituData za manunuzi zinapatikana Bot
Na hapo imewekwa kwa mwaka ila miaka ya kiserikali inaishia June.