Domant phone numbers wanazogawiwa wateja wapya

Domant phone numbers wanazogawiwa wateja wapya

Na mm muda sii mrefu kunajamaa kanitumia hiyo sms asee imeibuka ww3 imebidi awe mpole
20221030_101120.jpg
 
Nimeitupa mkuu hali haijawa shwari kabisa
Haya makampuni ya simu mawazo ya aina hii wanapaswa kufanyia kazi. Mwaka 2012 simu yangu iliibwa na laini ya Vodacom. Baada ya siku kumi kampuni hiyo ilimpa mteja wao namba kama ileile. Alichokipata yule dada Mungu anakijua. Nilielewa baada ya kufanya majaribio ya kuipiga namba ile ndipo dada alifunguka yaliyokuwa yakimsibu akipigiwa simu. 😂😂😂😂😂
 
Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
  1. Ati nimetelekeza mimba
  2. Nimetelekeza watoto
  3. Nadaiwa ada za watoto
  4. Nakwepa kulipa kodi ya chumba
  5. Na meseji za mahusiano mapya nyingi
  6. Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
Umejichanganya shabani kaoneka😂
 
Mimi ilinitokea, kuna watu wengi walikuwa wakinigia kutokea Lindi.
Kuna siku dada mmoja ikabidi niende naye sawa. Nikamuuliza, huyu unayemtafuta hauna namba yake nyingine? akasema namba nyingine sina, ila naweza kuipata maana watu wake wa karibu nawajua. Nikamwambia nitafutie hixo namba basi, akanitafutia na akanipa.
Baadaye sasa ikawa akipiga mtu simu, namwelekeza tu kwamba mtu unayemtaka anatumia namba fulani. Baada ya miezi kadhaa ishu ikaisha kabisa.
 
Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
  1. Ati nimetelekeza mimba
  2. Nimetelekeza watoto
  3. Nadaiwa ada za watoto
  4. Nakwepa kulipa kodi ya chumba
  5. Na meseji za mahusiano mapya nyingi
  6. Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji725]
 
Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
  1. Ati nimetelekeza mimba
  2. Nimetelekeza watoto
  3. Nadaiwa ada za watoto
  4. Nakwepa kulipa kodi ya chumba
  5. Na meseji za mahusiano mapya nyingi
  6. Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
Aisee pole sana
 
Dada yetu wa kazi anapigiwa simu kama Rosa Ree yule rapper wa Arusha. Mara nyingi tu anapigiwa na watangazaji wanataka interview, wengine wanataka kumpa deals, wengine kumsalimia. Huwa akiwaambia sio yeye wengine wanauliza Rosa Ree mwenyewe wanampataje na wengine wasumbufu hujua labda ni mtu wake wa karibu kashika simu, huwa wanajaribu tena
 
Mimi nilipewa namba alokua anatumia bwana Asenga, asee bibi babu, wajomba yani kalibia ndugu wote wanamlilia shida nadhanu ndo sababu akaitelekeza, kubwa kuluko yote ni ile miamala ya n m b, alafu ilikua kipindu cha watumisgu hewa,
 
Hiyo ni kawaida kwa mitandao yote. Line ikiwa dormant miezi mitatu wanapewa wateja wengine.
TIGO kwa hili nawasifu sana namba mpk kupewa mtu mwingine inaweza chukua hata mwaka au miaka 2
lkn AIRTEL na HALOTEL wapuuzi sana tena sana waweza kukuharibia biashara yako yani namba ishajulikana na wateja ss ikatokea tatizo ikawa haupo hewani kwa miezi kadhaa ebwanaee siku unaenda kuirenew unaambiwa kashapewa mtu mwingine unaweza ukampiga mtu ngumi

.kuna ndugu yangu alikuwa anaishi SOUTHAFRICA
sasa alikuja TANZANIA akakaa Kama miezi minne hivi sasa ile tayari anajiandaa kuondoka kurudi BONDENI ndo ikawa CORONA na mipak ikafungwaa
akabaki TANZANIA kwa mwaka mmoja zaidi mpk mpaka wa SOUTH ulivyofunguliwa
jumla alikaa TANZANIA mwaka 1 na miezi 6
siku anaondoka akasema mpk akifika nyumbani atatumia Simu ya mkewe kutujurisha kam amefika salama
mana tuliamini (kwa upuuzi tuliouzoea watanaznaia)kwa muda aliokaa ile lain itakuwa ishafungiwa pengine hata kupewa mtu mwingine
lkn cha kushangaza ike kutua tu OLIVA THAMBO akatucheck kwa namba ile ile na salio lake lilikuwa vile vile hakuongeza
yeye alishangaa hata sisi tulishangaa
kusema ukweli WENZETU upuuzi upuuzi hawana kabisa ndo mana wanazidi kufanikiwa
 
Back
Top Bottom