Domant phone numbers wanazogawiwa wateja wapya

Domant phone numbers wanazogawiwa wateja wapya

Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
  1. Ati nimetelekeza mimba
  2. Nimetelekeza watoto
  3. Nadaiwa ada za watoto
  4. Nakwepa kulipa kodi ya chumba
  5. Na meseji za mahusiano mapya nyingi
  6. Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
kuna moja niliisajili mwaka jana nilipotua tu Tanzania airport baada ya saa 24 nakutana na meseji za kukumbushwa marejesho ya deni la benki, kuna meseji za risiti za NHIF kila wakati jamaa akipatiwa huduma hospitali zinaingia kwenye hiyo laini .. aaah nikaitupaa..
 
Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
  1. Ati nimetelekeza mimba
  2. Nimetelekeza watoto
  3. Nadaiwa ada za watoto
  4. Nakwepa kulipa kodi ya chumba
  5. Na meseji za mahusiano mapya nyingi
  6. Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
Na wengine hawakwambii hayo moja kwa moja, wanakutrick mkutane sehemu faragha, ukifika umekwisha
 
Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
  1. Ati nimetelekeza mimba
  2. Nimetelekeza watoto
  3. Nadaiwa ada za watoto
  4. Nakwepa kulipa kodi ya chumba
  5. Na meseji za mahusiano mapya nyingi
  6. Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
another evidence of BongoNyoso.
 
Mie nilikuwa nikipokea nasikia "habari za asubuhi muheshimiwa"!! Nastuka muheshimiwa which,who,where..? Mara wanitumie msg Mh. Kikao kile kimehairishwa hadi tarehe fulani.

Sijui ilikuwa namba ya muheshimiwa gani!
 
Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
  1. Ati nimetelekeza mimba
  2. Nimetelekeza watoto
  3. Nadaiwa ada za watoto
  4. Nakwepa kulipa kodi ya chumba
  5. Na meseji za mahusiano mapya nyingi
  6. Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
Ha ha ha[emoji23]
 
Nilipataga namba moja poa sana ila inaelekea jamaa alikuwa mtu wa totoz, bata na madeni mpaka ya pombe.. Nikawa napigiwa sana
Sasa ili kuwakomesha kila anayepiga nilikuwa namjibu HALO HAPA NI MOCHWARI KARIBU TUKUHUDUMIE...
Nilimaliza tatizo kwa namna hiyo
 
Dah jana namtafuta Mage wangu baada ya muda mrefu, naandika meseji yakibazazi sana mara inajibiwa najikoki kuisoma najua mage nae anabashasha kuonana nami, mesej nakuta imeandikwa we nani maana namba yako sina na unajua unachat na nani??, nkaona sio mbaya labda alipoteza simu nkajitambulisha na nkamwambia nachat na Mage, jamaa akajibu yeye ni .......mwanaume wa tabora huko, dah nkaishiwa pozi kabisa maana Mage ndo alikuaga wakuponea siku zikiwa mbaya, sijui atakua wapi mage wangu......asee nyie mitandao acheni kugawa namba za watu ovyo
 
Back
Top Bottom