Kenan john
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 211
- 279
Na wanaoongoza kwa kukosea kupiga Namba ya Simu ni Wasukuma. [emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona ujinga huu. Watu wanajadili mambo ya maana wewe unaendekeza upuuzi.Hivyo hivyo hata ukiacha kumtumia mke anapewa mtu mwingine sio line tu😂
kuna moja niliisajili mwaka jana nilipotua tu Tanzania airport baada ya saa 24 nakutana na meseji za kukumbushwa marejesho ya deni la benki, kuna meseji za risiti za NHIF kila wakati jamaa akipatiwa huduma hospitali zinaingia kwenye hiyo laini .. aaah nikaitupaa..Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
- Ati nimetelekeza mimba
- Nimetelekeza watoto
- Nadaiwa ada za watoto
- Nakwepa kulipa kodi ya chumba
- Na meseji za mahusiano mapya nyingi
- Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Na wengine hawakwambii hayo moja kwa moja, wanakutrick mkutane sehemu faragha, ukifika umekwishaHii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
- Ati nimetelekeza mimba
- Nimetelekeza watoto
- Nadaiwa ada za watoto
- Nakwepa kulipa kodi ya chumba
- Na meseji za mahusiano mapya nyingi
- Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
another evidence of BongoNyoso.Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
- Ati nimetelekeza mimba
- Nimetelekeza watoto
- Nadaiwa ada za watoto
- Nakwepa kulipa kodi ya chumba
- Na meseji za mahusiano mapya nyingi
- Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Hata upuuzi ukiacha kuutumia wengine watanza kuutumia.On
Ona ujinga huu. Watu wanajadili mambo ya maana wewe unaendekeza upuuzi.
Me kuna mtu kanipigia anasema aliibiwa simu pamoja na vitu vingine,nkabaki nashangaa halafu na ile lafudhi ya kinyiramba
Nimepokea sms kama hizi kibaoNa mm muda sii mrefu kunajamaa kanitumia hiyo sms asee imeibuka ww3 imebidi awe mpoleView attachment 2401975
Ha ha ha[emoji23]Hii kadhia huenda inawakuta wengi, nilikwenda ofisi ya 062 kupata line ya simu siku ya Ijumaa wiki iliyopita nikapewa na kuanza kuitumia, inavyoonekana hii namba ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine huko nyuma akaitelekeza, kinachonikuta hadi sasa ni wanawake 11 wananitumia meseji na kupiga simu tuhuma nyingi tu
Kwa mtindo huu wapo wanaouziwa matatizo na mitandao ya simu kwa kugawa namba hizo kwa wateja wapya, imagine mtu anaambiwa atasakwa awe dead au live.
- Ati nimetelekeza mimba
- Nimetelekeza watoto
- Nadaiwa ada za watoto
- Nakwepa kulipa kodi ya chumba
- Na meseji za mahusiano mapya nyingi
- Wanaume nao wanashambulia kuwa niachane na wapenzi wao wengine wananisaka
Control ya idadi halisi ya wateja walio haiKuna haja gani ya kufanya hivyo ilhali namba , zipo nyingi tu, si wangesubiri hata 5 years labda
Ungewaambia ile posho ya kikao nitumieni kwa namba ...🤣Mie nilikuwa nikipokea nasikia "habari za asubuhi muheshimiwa"!! Nastuka muheshimiwa which,who,where..? Mara wanitumie msg Mh. Kikao kile kimehairishwa hadi tarehe fulani.
Sijui ilikuwa namba ya muheshimiwa gani!
🤣🤣🤣🤣Ungewaambia ile posho ya kikao nitumieni kwa namba ...🤣
Au uiacha na deni loloteUkitaka laini yako wasigawe iache na halopesa au mpesa au tigo pesa kidogo