Domo zege disease tukutane hapa

Domo zege disease tukutane hapa

Kwanza kutongoza ni sanaa...

Wanaume tupo tofauti tofauti sana kwenye mambo haya....

Wanawake wenyewe wanasema kwamba kuna wanaume wengine sauti yao tu tayari analegea,wengine wanasema unapoonana naye tu au kutoka naye out,ile namna yao ya kumsikiliza mwanamke na kumjali wakati wa out mwanamke anajikuta tu mwenyewe anajipeleka machinjioni...

Wanawake wanasema kwamba kuna wanaume wanajua sana kupangilia maneno ya kumueleza mwanamke na anajikuta tu anashindwa kukataa maana yale maneno yanakuja huku yanadondosha asali na anajikuta anayabugia mazima mazima na akija kustuka keshamalizwa....

Kwa maana hiyo usimcheke huyo huenda ameshajifunza kutokana na makosa na akaona hiyo ndiyo njia bora ya kukutongoza maana tayari ushamuelewa na kwa namna nyingine keshakutongoza tayari....
nimemuelewa ila natamani kusikia live kutoka kwake
 
TATIZO AKILI ZENU ZINAWAZA KUTONGOZWA TU WE KILA UKIOMBWA UTOKE NA MTU OUT UNAHISI ALITAKA KUKUTONGOZA....
 
mimi nahisi sio domo zege, lakini nakuaga naona aibu kumuita mdada alafu akakataa au kunitolea maneno machafu/mabaya yaani hapo tu ndo pananishinda naweza nikamuona mdada kabisa mzuri nikamvutia pumzi lakini hilo wazo likija kichwani tu naishiwa pozi, sasa sijui huo ndo udomo zege!! Miss Natafuta
 
Kuna wanaume kweli hawajui kutongoza

Kuna jamaa alikuwa ananionesha kabisa ananitaka ila ile kusema abc naona kama anakuwa muoga

Zikapita siku nyingi siku moja akaniambia wikend tutoke kuna jambo anataka kuniambia.Tukaenda mahali nikapiga msosi wa maana kama elf 70 hivi, ile bufee haikuwa ya nchi hii nilishinda pale masaa matatu nakula tu.

Baada ya kushiba nikamuuliaza ulikuwa unasemaje mkuu eti akaniambia alitaka kuniuliza nywele zangu nimesuka wapi na huo mtindo unaitwaje? hadi leo huwa namcheka sana. Nataka nimtongoze ndo namalizia kufanya upelelezi wangu wa mwisho kama anafaa kwa matumizi ya binadamu.

Wanaume mnachoogopa ni nini? Ningekuwa mwanaume mimi pasingetosha
mwanamke akishakubali kwenda out na mm ni mara nyingi tunamalizana huko huko
Lasivyo nahakikisha ame ahidi kuto papuchi in next few days (wengi hapa husema wako bleed)
 
Labda na wewe ulimtolea sana macho, huku kaa kimahaba hadi umemtisha mwenzio!!!
 
Kuna wanaume kweli hawajui kutongoza

Kuna jamaa alikuwa ananionesha kabisa ananitaka ila ile kusema abc naona kama anakuwa muoga

Zikapita siku nyingi siku moja akaniambia wikend tutoke kuna jambo anataka kuniambia.Tukaenda mahali nikapiga msosi wa maana kama elf 70 hivi, ile bufee haikuwa ya nchi hii nilishinda pale masaa matatu nakula tu.

Baada ya kushiba nikamuuliaza ulikuwa unasemaje mkuu eti akaniambia alitaka kuniuliza nywele zangu nimesuka wapi na huo mtindo unaitwaje? hadi leo huwa namcheka sana. Nataka nimtongoze ndo namalizia kufanya upelelezi wangu wa mwisho kama anafaa kwa matumizi ya binadamu.

Wanaume mnachoogopa ni nini? Ningekuwa mwanaume mimi pasingetosha
nilichokiona hapo ni iyo kujisifia umetumia buku70
 
Hii kauli "ningekuwa mwanaume pasingetosha" mabinti wengi wanayo sijui kwa nn? Ajabu sisi wanaume tukiitumia ipasavyo wanalalamika kinoma, na kutuita majina kibao...
Mkuu huwa wanalalamika kuwa tunawatongoza mno.!!

Kuna kipindi nilivutiwa na demu mmoja Ila nikapoteana naye kwa muda.
Siku moja nikakutana naye asubuhi na mapema ikabidi nimpige sound tu.
Alishangaa kuona napiga sound asubuhi yote ile Ila kilichofuata ni manyoya
 
Hii kauli "ningekuwa mwanaume pasingetosha" mabinti wengi wanayo sijui kwa nn? Ajabu sisi wanaume tukiitumia ipasavyo wanalalamika kinoma, na kutuita majina kibao...
true man
 
Hiyo ndo sababu mwanaume hutakiwi kua na demu mmoja tena mbovu, wanawake wote duniani wanaamini km wangekuwaga wanaume basi wangetomba duniani nzima...sasa jiulize wewe uliyeumbwa mwanaune unasubiri nini...?
 
Back
Top Bottom