Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

You should question wanaume wanaowaacha na kutaka gays
 
Thank you but most of jf guys ain't ready to destroy their African homophobic illusion over the trumps matter
 
Kwànn Trump hakubalian na Mpango huo wa Mabadiliko ya hali ya hewa Licha ya kua unagusa Dunia nzima?.

Ndani ya mapendekezo yale, ni kua Dunia nzima ikubali kua Jumapili iwe siku ya mapumziko ambapo shughuli zote za kiuchumi Dunia yaan Viwanda n .k visizalishe Kila siku ya jumapili badala yake iwe siku ya Wanafamilia kukaa pamoja na kufurahia na Kumwabudu Mungu

Na Jumamos iwe siku pekee ya Shughuli za Upandaji miti yaan Green Saturday.

Ukisoma LAUDATO SI ( The Pope, The Environment, The Sunday Law ).

Ni inahitaji Dunia kuongozwa na Sera za RUMI / CATHOLIC.


NA HII TRUMP HAITAKI , NA NDIPO ULIPO MZOZO KATI YA TRUMP NA ROMAN CATHOLIC.

Kwa Ufupi, Nyuma ya mpango wa Mabadiliko ya hali ya Hewa, Kuna mpango wa Kishetani unaendelea.

Ingawa utabisha hapa.
 
Ilijengwa kwenye msingi wa Mungu hasa uhuru wa kuabudu na uhuru binafsi lakini hawakufuata sheria za Mungu kuhusu utumwa. Kwamba binadamu wote ni sawa.
USA ni moja ya mataifa yaliyokomesha biashara ya utumwa na ukoloni
 
Aachane na hiyo kampuni kwani inasaidia kuweka mazingira katika hali ya usafi. Uzibuaji wa mitaro sio kazi ndogo.
 
USA ni moja ya mataifa yaliyokomesha biashara ya utumwa na ukoloni

Utumwa ni mfumo unaombagua mtu kutokana na rangi yake. Ukoloni ni nchi moja ku- dominate nyingine kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni.

Mnaambiwa mkubali LGBT, uuze kampuni zote muhimu kama Bandari, mbuga, madini, kuua au kuwaondoa viongozi wa nchi fulani nk. Sasa hivi hadi lugha, uvaaji nguo, chakula, muziki, vyombo vya habari, movies, unachoaangalia kwenye internet, elimu vyote, mikopo na mashari ya mikopo, mfumo wa siasa, ubinafshaji wa sekta zote muhimu na ubinafsi kwenye jamii vingi hivi vimeletwa kwetu na Mkoloni wa sasa, Empire ya sasa duniani.

Walikomeshaje utumwa na ukoloni?
 
Trump sio Messiah, ana mapungufu mengi tu. Ila ni bora kuliko alternative, ni bora kuliko Kamala Harris kwenye mambo mengi.
 
Kwa taarifa tu ni kwamba, Trump anatumiwa na Christian Evangelical Churches in USA ambao wamekuwa ndio uti wa mgongo wa ushindi wake ktk hizi chaguzi.

Taifa la Marekani liliasisiwa na makanisa haya ya kikristo ambayo yanaamini ktk biblia kwamba ndoa ni ya mume na mke tu na kwamba mtoto aliye tumboni hapaswi kuuliwa kwa namna yoyote ile.
 

Mungu ni mkuu, Mweza wa yote. Tunalindwa na damu ya Yesu!
 
Hilo la Hali ya Hewa ndo likoje?
Sijalifuarilia kiundani!
Nisaidie!

Hayo anayopingana nayo unayaona?
Unafikiri kwann walitaka kumuua?

Sbb nilizonazo sijui ht nikieleza hapa utaelewa mkuu,ila ni mambo ya kiroho zaidi!
Rabbon hebu kuja hapa
 
Sasa kwanini hawakuwa na IQ ya kwenda kuwatawala wazungu wakati walikuwa hawali ugali?
 
Ushoga hauwezi kuisha America mpaa America isiwe inachukua amri kutoka Tela Aviv.
 
Lakini wakati huohuo swahiba zake Israel ni wadau wakuu wa Lgbtq hatagombana nao? Vinginevyo nasimama na mnyampala Trump mkali wao
 
Kwa akili yako unafikiri kila mtu anafikiria kumtawala mwingine. Ugali unaingiaje hapa?
Kila binadamu huwa anafikiri kumtawala mwingine ila uwezo tu ndo una limit Hilo.
Sasa ugali SI ndo unapunguza IQ?
 
Mzozo kati ya trump na katholic ulishakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…