Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
POTUSImetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya HabariView attachment 3144934
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
POTUSImetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya HabariView attachment 3144934
Mitano tena🤣🤣🤣Tunamshukuru sana Rais Samia kwa kumuwezesha Trump kushinda kiti cha urais
Labda kwa mikwaraTrump..
Hapo sasa kipondo kwisha Ukreni. Unapaswa kufurahi, wala si kulia.Masikini Ukraine 😭😭😭😭
Ndio maana huwa wanajua waongo wengi wajinga hiyo Electoral vote umeisoma kwenye media ipo huku wametangaza majimbo mawili tuElectoral votes tayari Trump kashinda na ndîo yanayoamua Urais.
Anachosema Nyani Ngabu ni kuwa huenda pia atashinda kwèñye popular votes Ambazo NI Kura za Wananchi.
Ila Mpaka Sasa mshindi ni Trump
Plus CNNMasikini Ukraine 😭😭😭😭
Ndio maana huwa wanajua waongo wengi wajinga hiyo Electoral vote umeisoma kwenye media ipo huku wametangaza majimbo mawili tu
USSR
Kada mbona humpambi Kama unavyompamba Mkojani ?hata yangekua bado majimbo zaid ya mawili makubwa Trump angeshinda tu,
but kwa sasa itoshe tu kusema Donald J Trump ametangazwa mshindi wa kiti cha uRais hapo marekani 🐒
Kamala ni mlaini hana tofauti na mgombea wenu mtarajiwaDemocrats hawakuwa na mgombea wa kushindana na Trump
Saa100 ni hewa mkuu.Kamala ni mlaini hana tofauti na mgombea wenu mtarajiwa
Uvccm wenye mviSaa100 atume Salam za pongezi kwa Trump sasa.
Chura mwenzake Chali.