Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mjomba mbona hujaweka idadi ya ushindi?Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya HabariView attachment 3144934
Ndugu !je hii Ina maanisha hapo mwakani Trump wa huku kwetu atashinda dhidi ya Kamala Harris was huku kwetu!!?Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya HabariView attachment 3144934
Mkwe wa Taifa anasema wameandikisha watu million 31Sisi tunaendelea na mazingaombwe ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kwa hesabu ya kawaida tu, hakuna haja ya mchakato.Electoral votes zinahitajika 270 mtu ashinde Trump mpaka sasa anazo 247(kama hakuna mabadiliko) huyu Kamala anazo 214(kama hakuna mabadiliko) na mchakato wa kuhesabu unaendelea.
Electoral votes, popular votes, majimbo...sijawahi kuelewa namna hawa jamaa wanavyohesabu kura.Inavyoelekea na popular votes atashinda.
Demos hawakujifunza kwa Hilary. In short US haiamini wanawake kwenye post hiyo. Angelikuwa ME angemsumbua Trump.Inavyoelekea na popular votes atashinda.
Wana kauhuni flani hivi.Electoral votes, popular votes, majimbo...sijawahi kuelewa namna hawa jamaa wanavyohesabu kura.
Yule ni mwiziMkwe wa Taifa anasema wameandikisha watu million 31
Kwa Marekani Trump kaburuza koteHivi tuseme Marekani ina demokrasia imara ama demokrasia isiyo na uhalisia?
Yaani mamilooni ya wananchi wanapiga kura kumchagua Rais wamtakaye halafu kura zao zinakuwa useless hazitumiki kuamua nani awe Rais bali kura za watu wachache (Electoral Collage) ndizo zinaamua Rais.
Hii haina maana kwamba maamuzi ya wananchi yanapuuzwa?
Wewe ndiye mpotoshaji.Matokeo bado acheni upotoshaji
Nyani Ngabu Amefafanua mara nyingi...tumuombe arudieHivi tuseme Marekani ina demokrasia imara ama demokrasia isiyo na uhalisia?
Yaani mamilooni ya wananchi wanapiga kura kumchagua Rais wamtakaye halafu kura zao zinakuwa useless hazitumiki kuamua nani awe Rais bali kura za watu wachache (Electoral Collage) ndizo zinaamua Rais.
Hii haina maana kwamba maamuzi ya wananchi yanapuuzwa?
Amezoe kuomba misaada,kwa Trump akome sasaMama anaupiga mwingi