Mbuzingombe
JF-Expert Member
- Apr 14, 2024
- 353
- 828
Anatangaza idadi, uso mkavuuu,Yule ni mwizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatangaza idadi, uso mkavuuu,Yule ni mwizi
Kwa upande wa Israel, kamala ni Afadhali. Trump Hakopeshi. Ni pure ChristianPumzika kwa amani Yahya Sinwar, Kamala aliniudhi sana kushangilia kifo chako.
Russia tumeshinda tena, nimefurahi.
Huu ndio muhula wake wa mwisho.Hivi Trump ataweza kugombea tena 2028? Au USA hamna wanasiasa kama wa kwetu wa kutafsiri katiba wanavyotaka?
Mkuu ipo hivi. Majimbo ya marekani (states) zimepewa idadi fulani ya electoral college kulingana na uwingi wa watu. Mfano carlifonia ina electoral collage 54. North Carolina 16, etc.Hivi tuseme Marekani ina demokrasia imara ama demokrasia isiyo na uhalisia?
Yaani mamilooni ya wananchi wanapiga kura kumchagua Rais wamtakaye halafu kura zao zinakuwa useless hazitumiki kuamua nani awe Rais bali kura za watu wachache (Electoral Collage) ndizo zinaamua Rais.
Hii haina maana kwamba maamuzi ya wananchi yanapuuzwa?
HakikaHuu ndio muhula wake wa mwisho.
NimechekaTunamshukuru sana Rais Samia kwa kumuwezesha Trump kushinda kiti cha urais
Hawez, anamaliza awamu zake mbili.Hivi Trump ataweza kugombea tena 2028? Au USA hamna wanasiasa kama wa kwetu wa kutafsiri katiba wanavyotaka?
term ni mbili tu. kama utaweza zipata, hii inakua term yake ya pili kwisha kaziHivi Trump ataweza kugombea tena 2028? Au USA hamna wanasiasa kama wa kwetu wa kutafsiri katiba wanavyotaka?
Doesn’t matter, so long as alishangilia kifo chake ashangilie na sasa.Kwa upande wa Israel, kamala ni Afadhali. Trump Hakopeshi. Ni pure Christian
😀😂😃Nimecheka
Mgombea akishinda jimbo fulani (yaani popular votes kwenye jimbo hilo), basi anapata pia electoral votes kwenye jimbo hilo.Electoral votes, popular votes, majimbo...sijawahi kuelewa namna hawa jamaa wanavyohesabu kura.
Mayatollah hali yao mbaya sana huko,wasiempenda karudi.Mungu Mkubwa sana, Dunia itatulia sasa, leo ni furaha kubwa duniani