Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hahaaa, yup. I got my prediction wrong.Yaani we nilikubishia August ulivyokuja kudanganya watu kuwa Harris atashinda pole😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa, yup. I got my prediction wrong.Yaani we nilikubishia August ulivyokuja kudanganya watu kuwa Harris atashinda pole😁😁😁
Wahooo!Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya Habari
=====
Rais wa zamani Donald Trump kutoka chama cha Republican, ameshinda Uchaguzi wa Marekani.
View attachment 3144969
Chanzo: Spectator Index
Donald Trump ameoa mara tatu, Ivana na Marla Maples, mke wa kwanza na wa pili mtawalia ambao wote ametalikiana nao. Mke wake wa sasa ni Bi Melania.
Bwana Trump ana watoto watoto watano, watatu wa kiume Donald Trump Jr, Eric, Barron na watoto wawili wa kike Ivanka na Tiffany.
Rais huyo wa Zamani wa Marekani alizaliwa Juni 14 mwaka wa 1946, mjini New York, akiwa mtoto wa tano kati ya watoto sita.
Babake Fred alikuwa tajiri aliyemilki majumba na babu zake Trump walikua wahamiaji kutoka Ujerumani.
Mamake Mary alikuwa mzaliwa wa Scotland.
View attachment 3144983
Tangu utotoni, Trump alikuwa mtundu na wazazi wake walimpeleka shule ya msingi iliyofadhiliwa na jeshi mjini New York.
Baadaye alifuzu kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania, kitivo cha elimu ya biashara mwaka wa 1968.
Alifanya kazi katika kampuni ya babake ambaye aliendesha biashara ya kuuza nyumba kwa raia wa kipato cha kadiri, viungani mwa New York.
Hata hivyo Donald Trump alikuwa na ndoto ya kufanya biashara nje ya makaazi ya Queens na Brooklyn.
Aliwekeza katika biashara kubwa ya ujenzi na kuweza kujenga mojawapo ya mijengo ya kifahari zaidi nchini Marekani. Alifanikiwa kutokana na sera ya kiuchumi iliyowekwa na utawala wa Reagan miaka wa 1980.
Yapo mahoteli, viwanja vya mchezo wa gofu, makazi ya kifahari, majumba ya kamari kutoka Carlifonia hadi Mumbai nembo yake ikiwa ni Trump.
Ameandika Riwaya kadhaa kuhusu biashara, huku umaarufu wake uking'aa zaidi katika makala yanayoelezea maisha halisi, "The Apprentice," katika runinga ya NBC. Hata hivyo alitupwa nje ya makala hayo baada ya kutoa kauli zilizowakera raia wa Mexico.
Rais wa Marekabni sio Magufuli mlipa kisasi😂Naona Iran anenda kumalizika.
Alipewa kesi ya kutaka kummaliza rais mtarajiwa wa Marekani wakati wa kampeni na sasa ndiye rais mteule
Hivyo hivyo, muda wa mtu kukaa ofisini ni mihula miwili hata kama haijafuatana.Inasemaje katiba yao kama terms hazifuatani?
Chombo gani wewe hapo BBC,CNN na aljazeera wanasema ameshinda majimbo mawili makubwa bado mengine wewe jamaa muongo sana
USSR
Ndio ubinadamu hatuwezi kuwa sahihi kila wakatiHahaaa, yup. I got my prediction wrong.
Fox NewsChombo gani wewe hapo BBC,CNN na aljazeera wanasema ameshinda majimbo mawili makubwa bado mengine wewe jamaa muongo sana
USSR
Kamala Harris hakuwa Mgombea sahihi kwa kiti cha uRais wa Marekani kwa kushindana na Trump. Democrats wangejifunza kupitia kwa Hilary Clinton kwenye Uchaguzi wa mwaka 2016. Uchaguzi huo ungekuwa kama Pilot Project kwa Democrats ili kuweza kumteua mtu sahihi wa kushindana na Trump.Wamnadi muda mwingi wakati ndio alikuwa VP kwa miaka 4?
Kabisa.Ndio ubinadamu hatuwezi kuwa sahihi kila wakati
Biden pamoja na uzee wake nadhani angekuwa competitive kushinda Kamala.Kamala Harris hakuwa Mgombea sahihi kwa kiti cha uRais wa Marekani kwa kushindana na Trump. Democrats wangejifunza kupitia kwa Hilary Clinton kwenye Uchaguzi wa mwaka 2016. Uchaguzi huo ungekuwa kama Pilot Project kwa Democrats ili kuweza kumteua mtu sahihi wa kushindana na Trump.
Narudia tena kusema kwamba Democrats walipiga mahesabu vibaya kwenye Uchaguzi huu.
Angalia hata Al jazeera wachambuzi wanasema hatuna haki ya kutangaza matokeo ila mpaka sasa kifikra inafahamika matokeo yatakuwaje!
Aaah, subiri uone na endelea kuamini hawalipi kisasi.Rais wa Marekabni sio Magufuli mlipa kisasi😂
hilo halisumbui. kinachoangaliwa ni idadi ya termKatiba ya USA inasemaje kama hizo term hazifuatani?
Trump ameshinda katika ngome zote zenye upinzani mkali:Fox hiyo
Mgombea wenu wa Upinzani ni yupi hiyo ikiwa hamna hata wagombea wa Vijijini na Miata?Kamala ni mlaini hana tofauti na mgombea wenu mtarajiwa