Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Hivi tuseme Marekani ina demokrasia imara ama demokrasia isiyo na uhalisia?

Yaani mamilooni ya wananchi wanapiga kura kumchagua Rais wamtakaye halafu kura zao zinakuwa useless hazitumiki kuamua nani awe Rais bali kura za watu wachache (Electoral Collage) ndizo zinaamua Rais.

Hii haina maana kwamba maamuzi ya wananchi yanapuuzwa?
Bila popular votes huwezi kupata electoral votes. Hizo zinategemeana kabisa. Unadhani kwa nini Trump amepata electoral votes 16 za jimbo la Florida?

Kwa sababu ameshinda jimbo hilo. Bila kushinda jimbo husika, unakosa electoral votes zake.
 
Back
Top Bottom