dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
aise!Tunamshukuru sana Rais Samia kwa kumuwezesha Trump kushinda kiti cha urais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aise!Tunamshukuru sana Rais Samia kwa kumuwezesha Trump kushinda kiti cha urais
Donald atakichafua balaa tena sanaIvi huyu au yule demu nani angeleta mabalaa zaidi Middle East?
Kama anaoga njeUna haraka kama umekalia cha moto
😂😂😂😂Democrats hawakuwa na mgombea wa kushindana na Trump
Nope. He’s a lame duck president now.Hivi Trump ataweza kugombea tena 2028? Au USA hamna wanasiasa kama wa kwetu wa kutafsiri katiba wanavyotaka?
nimpambe nani gentleman kwasabb gani?🐒Kada mbona humpambi Kama unavyompamba Mkojani ?
😂😂😂😂😂 Anamalizia Pension yake cause probably he will be 82 by thenNope. He’s a lame duck president now.
Kitu sijawahi kumuelewa Trump ni urafiki wake na Putin, hivi huwa ni kwa ajili ya nini?Inavyoelekea na popular votes atashinda.
Nakumbuka mwaka 2019Nope. He’s a lame duck president now.
Bila popular votes huwezi kupata electoral votes. Hizo zinategemeana kabisa. Unadhani kwa nini Trump amepata electoral votes 16 za jimbo la Florida?Hivi tuseme Marekani ina demokrasia imara ama demokrasia isiyo na uhalisia?
Yaani mamilooni ya wananchi wanapiga kura kumchagua Rais wamtakaye halafu kura zao zinakuwa useless hazitumiki kuamua nani awe Rais bali kura za watu wachache (Electoral Collage) ndizo zinaamua Rais.
Hii haina maana kwamba maamuzi ya wananchi yanapuuzwa?
Na wenye uelewa tu lakini.Hii ilitegemewa .
Ni rahisi na ungeelewa mifumo Yao ni mizuri sanaElectoral votes, popular votes, majimbo...sijawahi kuelewa namna hawa jamaa wanavyohesabu kura.
Heri mimi sijasema. Siwezi toa mdomoni kwangu maneno yasiyotekelezekaKwa kishindo! Bado Lissu sasa, Wenye dunia yao washaonyesha njia ni jinsia gani ya kuiamini kwenye urais