Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Nimesema social media hapo ni x kwa media hakuna ni propaganda tu
Hata kwenye social meadia.

Ukiijua vizuri X utanielewa mkuu, kuna contents huwa zinafutwa kwa sababu za kisiasa ni vile haujawahi kuwa mwathirika kwenye hili.

Hata yeye mwenyewe Elon amekuwa akiitumia visivyo X yake angalia sakata la Venezuela na Brazil
 
Electoral votes, popular votes, majimbo...sijawahi kuelewa namna hawa jamaa wanavyohesabu kura.
Ukishinda jimbo lolote unachukua kura zote za wabunge (maseneta) wa eneo hilo hii wamefanya makusudi ili majimbo makubwa yasitokee yakaamua nani awe POTUS pekee
 
Muslim Brotherhood Wański *yea huko waliło; mass deportation
 
Ndiyo umeeleza nini sasa?

Sina uhakika hata kama wewe mwenyewe umeelewa ulichoandika.

Swali ni dogo sana, kwanini hawaachi kura za wananchi ndiyo zikawa kura za kuamua mshindi?

Kama ni demokrasia basi demokrasia nzuri na yenye uhalisia ni ile mamlaka ya uamuzi kuachiwa umma.

Sasa hii ina tofauti gani na China ambako tunaambiwa hakuna demokrasia ya kweli ambapo Rais anachaguliwa na bunge.
 
Tulisema humu watu wakatunanga. Hii inaita Reset Button
Dunia ilirudi kwenye mstari
Mungu ni mmoja
Imani kuu ya …… turudi kusali na kuabudu Mungu wa kweli!
Christmas itang’ara this time around.
 
Hiyo electrol vote naona ni km inabalance maamuzi ya majimbo yote
Huoni pia unaposema inabalance maana yake ni sawa na kuwanyima haki ya kumchagua Rais wamtakaye hao unaosema wapo wengi kwenye majimbo yao?

Kuna usemi usemao wengi wape sasa hapo mbona kama wengi wananyimwa?
 
Kwa tafsiri ya demokrasia ambayo wao wazungu ndiyo waanzilishi wa tafsiri na maana ya demokrasia basi wao ndiyo hukeuka hiyo dhana ya demokrasia.

Nimeambatanisha hapa nini tafsiri ya demokrasia na majibu ni kama haya.

Je, bado unataka tuamini kwenye uchaguzi wa Marekani kuna demokrasia?
 

Attachments

  • Screenshot_20241106_150851_ChatGPT.jpg
    320.5 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…