OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ingekuwa betting ungepiga hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa betting ungepiga hela
Kawaida zile ndio Raha mkuuSema humo chudai nazo zimezidi😂
Nitajie media iliyo huru mkuuSio kweli mkuu
Nimesema social media hapo ni x kwa media hakuna ni propaganda tuNitajie media iliyo huru mkuu
Oyaa sasa hivi ningekuwa na kibunda changu najipongeza tu mdogo mdogoIngekuwa betting ungepiga hela
Hata kwenye social meadia.Nimesema social media hapo ni x kwa media hakuna ni propaganda tu
Hiyo ilitakiwa ujipongeze bila demuOyaa sasa hivi ningekuwa na kibunda changu najipongeza tu mdogo mdogo
Kabisa mkuu wanawake ni takataka tu ni bora nijipongeze na family members au wanangu wa faidaHiyo ilitakiwa ujipongeze bila demu
Ukishinda jimbo lolote unachukua kura zote za wabunge (maseneta) wa eneo hilo hii wamefanya makusudi ili majimbo makubwa yasitokee yakaamua nani awe POTUS pekeeElectoral votes, popular votes, majimbo...sijawahi kuelewa namna hawa jamaa wanavyohesabu kura.
Muslim Brotherhood Wański *yea huko waliło; mass deportationImetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya Habari
=====
Rais wa zamani Donald Trump kutoka chama cha Republican, ameshinda Uchaguzi wa Marekani.
View attachment 3144969
Chanzo: Spectator Index
Donald Trump ameoa mara tatu, Ivana na Marla Maples, mke wa kwanza na wa pili mtawalia ambao wote ametalikiana nao. Mke wake wa sasa ni Bi Melania.
Bwana Trump ana watoto watoto watano, watatu wa kiume Donald Trump Jr, Eric, Barron na watoto wawili wa kike Ivanka na Tiffany.
Rais huyo wa Zamani wa Marekani alizaliwa Juni 14 mwaka wa 1946, mjini New York, akiwa mtoto wa tano kati ya watoto sita.
Babake Fred alikuwa tajiri aliyemilki majumba na babu zake Trump walikua wahamiaji kutoka Ujerumani.
Mamake Mary alikuwa mzaliwa wa Scotland.
Tangu utotoni, Trump alikuwa mtundu na wazazi wake walimpeleka shule ya msingi iliyofadhiliwa na jeshi mjini New York.
Baadaye alifuzu kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania, kitivo cha elimu ya biashara mwaka wa 1968.
Alifanya kazi katika kampuni ya babake ambaye aliendesha biashara ya kuuza nyumba kwa raia wa kipato cha kadiri, viungani mwa New York.
Hata hivyo Donald Trump alikuwa na ndoto ya kufanya biashara nje ya makaazi ya Queens na Brooklyn.
Aliwekeza katika biashara kubwa ya ujenzi na kuweza kujenga mojawapo ya mijengo ya kifahari zaidi nchini Marekani. Alifanikiwa kutokana na sera ya kiuchumi iliyowekwa na utawala wa Reagan miaka wa 1980.
Yapo mahoteli, viwanja vya mchezo wa gofu, makazi ya kifahari, majumba ya kamari kutoka Carlifonia hadi Mumbai nembo yake ikiwa ni Trump.
Ameandika Riwaya kadhaa kuhusu biashara, huku umaarufu wake uking'aa zaidi katika makala yanayoelezea maisha halisi, "The Apprentice," katika runinga ya NBC. Hata hivyo alitupwa nje ya makala hayo baada ya kutoa kauli zilizowakera raia wa Mexico.
Ndiyo umeeleza nini sasa?Chukulia kwa urahisi kabisa kwenye ligi za mpira;
-Sheria ni ukishinda unapata pointi tatu, droo point moja, ukifungwa hupati kitu.
-Ni system nzuri sana Iliwekwa kuhakikisha anaeshinda urais, ushindi wake uakisi uwakilishi wa majimbo yote yanayounda nchi ya marekani.
-Vinginevyo wanasiasa wahuni especially hao democrat wangekua wanawapa uraia wahamiaji haramu wengi kwenye majimbo ambayo wana advantage ili wapige kura nyingi wawawezeshe kushinda kama kigezo ingekua mshindi wa kura za nchi nzima ndo mshindi wa urais.
-Ni kama tu kwenye mpira, timu ikishinda 10-0 inapata point tatu sawa sawa na timu iloshinda 1-0
Huoni pia unaposema inabalance maana yake ni sawa na kuwanyima haki ya kumchagua Rais wamtakaye hao unaosema wapo wengi kwenye majimbo yao?Hiyo electrol vote naona ni km inabalance maamuzi ya majimbo yote
Amka usingizini! Huko duniani mshindi hatangazwi na Jecha.Chombo gani wewe hapo BBC,CNN na aljazeera wanasema ameshinda majimbo mawili makubwa bado mengine wewe jamaa muongo sana
USSR
Kwa tafsiri ya demokrasia ambayo wao wazungu ndiyo waanzilishi wa tafsiri na maana ya demokrasia basi wao ndiyo hukeuka hiyo dhana ya demokrasia.Chukulia kwa urahisi kabisa kwenye ligi za mpira;
-Sheria ni ukishinda unapata pointi tatu, droo point moja, ukifungwa hupati kitu.
-Ni system nzuri sana Iliwekwa kuhakikisha anaeshinda urais, ushindi wake uakisi uwakilishi wa majimbo yote yanayounda nchi ya marekani.
-Vinginevyo wanasiasa wahuni especially hao democrat wangekua wanawapa uraia wahamiaji haramu wengi kwenye majimbo ambayo wana advantage ili wapige kura nyingi wawawezeshe kushinda kama kigezo ingekua mshindi wa kura za nchi nzima ndo mshindi wa urais.
-Ni kama tu kwenye mpira, timu ikishinda 10-0 inapata point tatu sawa sawa na timu iloshinda 1-0
Hiyo Yemeni wale waliojidai wababe unajua wanasema nini sasa?Tulisema humu watu wakatunanga. Hii inaita Reset Button
Dunia ilirudi kwenye mstari
Mungu ni mmoja
Imani kuu ya …… turudi kusali na kuabudu Mungu wa kweli!
Christmas itang’ara this time around.
Bichwa mi huku sina cha kuongea zaid zaidi taaribu uzi wa watu..Lakini nasikia Kamala anajua kuongea kizungu kuliko Trump.
Kizungu cha kamala ati ni bora zaidi.
Hii imekaaje?
Cc: Kalpana Poor Brain
Naomba nikucheki inbox, kuna nyuzi niliona unaongelea swala flani 2021Bichwa mi huku sina cha kuongea zaid zaidi taaribu uzi wa watu..
Mi mambo napenda si unayajua lakini