Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Nje ya manda: Unaamini Idd Amin Dada ndiye aliyeivamia Tanzania au Ni Nyerere ndiye aliuemchokoza Amini? Ukijibu kwa ufasaha swali hili basi utakuwa na uoeo mkubwa WA kuangalia "other side of the story"
Suala hili mbona Mimi binafsi nimeshawahi kuliongelea Mara nyingi sana kwenye mtandao huu wa JF. Soma post zangu za siku za nyuma utaona wewe mwenyewe kuhusu suala hili.

Msimamo wangu upo very clear kwamba Nyerere ndiye aliyeanzisha chokochoko dhidi ya Idd Amin, kwa kutaka kumrudisha madarakani huko Uganda rafiki yake Obote ambaye alipinduliwa na Idd Amin.

Aidha, Idd Amin hakuwa mwendawazimu kwa kuichagua Tanzania peke yake na kuivamia huku akiziacha nchi zingine nyingi ambazo zinapakana na Uganda. Kwa nini aliivamia Tz tu peke yake na kuziacha hizo nchi zingine??? Why only Tanzania but not Kenya, Zaire, Rwanda, or Sudan? Why???

Tz inapaswa kuacha kuingilia kati migogoro ya ndani isiyotuhusu iliyopo katika nchi zingine za majirani zetu. Mambo ya ngoswe aachiwe ngoswe mwenyewe!
 
Sasa ina maana gani hii? Mbona ni kupoteza muda kusiko na maana yoyote.

Kama kushinda popular votes ndiyo kushinda electoral votes kwanini isiachwe tu hiyo popular votes?

Hillary Clinton alipogombea na Donald Trump, Hillary Clinton alimshinda Trump kwenye popular votes lakini Trump akamshinda Hillary Clinton kwenye electoral votes na kupelekea Trump kuwa Rais wa Marekani.

Sasa hoja yako ya kwamba popular votes na electoral votes zinaendana mbona kama haina uhalisi?
Nazungumzia popular votes katika kila jimbo, mkuu. Ili ushinde electoral votes za jimbo fulani, lazima pia ushinde popular votes za jimbo hilo. Ukilipoteza, basi umepoteza kura za wajumbe wake pia.
 
Kwanza achukue nchi we all know that team Russia hatuipendi USA kutokana na Sera zake za uonevu Kwa mataifa mengine , Lakini ni Bora ashinde Trump Ambaye haamini ktika vita / haamini katika ushoga na usagaji kuliko Raisi wa Dunia atokee ktika chama cha kina Obama wale washenzi
Hapa kwenye vita kidogo napata ukakasi ila huko kwengine naungana na wewe ili uwe rahisi wa marekani unatakiwa uwe mshenzi na muuaji sasa walau hizi sifa dt hazimuhusu jumla
Kwanza achukue nchi we all know that team Russia hatuipendi USA kutokana na Sera zake za uonevu Kwa mataifa mengine , Lakini ni Bora ashinde Trump Ambaye haamini ktika vita / haamini katika ushoga na usagaji kuliko Raisi wa Dunia atokee ktika chama cha kina Obama wale washenzi
Kiukweli marekani kwenye suala la vita hata akae baba angu mzazi sina Imani nao dt ana madhaifu yake ila kwenye usenge na abortion aliupiga mwingi
 
Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya Habari

=====

Rais wa zamani Donald Trump kutoka chama cha Republican, ameshinda Uchaguzi wa Marekani.
View attachment 3144969
Chanzo: Spectator Index

Donald Trump ameoa mara tatu, Ivana na Marla Maples, mke wa kwanza na wa pili mtawalia ambao wote ametalikiana nao. Mke wake wa sasa ni Bi Melania.

Bwana Trump ana watoto watoto watano, watatu wa kiume Donald Trump Jr, Eric, Barron na watoto wawili wa kike Ivanka na Tiffany.

Rais huyo wa Zamani wa Marekani alizaliwa Juni 14 mwaka wa 1946, mjini New York, akiwa mtoto wa tano kati ya watoto sita.

Babake Fred alikuwa tajiri aliyemilki majumba na babu zake Trump walikua wahamiaji kutoka Ujerumani.

Mamake Mary alikuwa mzaliwa wa Scotland.
View attachment 3144983
Tangu utotoni, Trump alikuwa mtundu na wazazi wake walimpeleka shule ya msingi iliyofadhiliwa na jeshi mjini New York.

Baadaye alifuzu kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania, kitivo cha elimu ya biashara mwaka wa 1968.

Alifanya kazi katika kampuni ya babake ambaye aliendesha biashara ya kuuza nyumba kwa raia wa kipato cha kadiri, viungani mwa New York.

Hata hivyo Donald Trump alikuwa na ndoto ya kufanya biashara nje ya makaazi ya Queens na Brooklyn.

Aliwekeza katika biashara kubwa ya ujenzi na kuweza kujenga mojawapo ya mijengo ya kifahari zaidi nchini Marekani. Alifanikiwa kutokana na sera ya kiuchumi iliyowekwa na utawala wa Reagan miaka wa 1980.

Yapo mahoteli, viwanja vya mchezo wa gofu, makazi ya kifahari, majumba ya kamari kutoka Carlifonia hadi Mumbai nembo yake ikiwa ni Trump.

Ameandika Riwaya kadhaa kuhusu biashara, huku umaarufu wake uking'aa zaidi katika makala yanayoelezea maisha halisi, "The Apprentice," katika runinga ya NBC. Hata hivyo alitupwa nje ya makala hayo baada ya kutoa kauli zilizowakera raia wa Mexico.
Sisi watoto wetu mashuleni wanafundishwa wizi na dhuluma wangali wadogo chini ya miaka18.
 
Na hapo Pennsylvania si ndipo walipomchapa risasi? Kura za huruma probably ukizingatia electoral votes zipo za kutosha pale.
Mkuu, wewe huogopi? Angalia Trump amekwaa majimbo yote ya kimkakati. Umeona idadi ya maseneta na wawakilishi lakini?

Unapataje nguvu za kusema amepigiwa kura za huruma jimboni Pennsylvania?

Halafu 2016, Trump alishinda jimbo hilo, japo Joe Biden akamwibia kura ilee 2020.
 
Ushindi wa Trump, kila mwanaume aliyepevuka atakuwa kaufurahia!

Wanawake ni viongozi wazuri sana lakini siku hizi shetani anawatumia sana kuua Haiba yetu ya kiume tunabakia wanyonge tu na kutii!

Wanawake wakiitawala dunia jamii imekwisha!
Hatukatai kuongoza lakini ni vyema tuwape kwanza elimu ili wanapokuwa kwenye madaraka wasitutweze kisaikolojia!

Angeshinda kamala bongo tungekuwa tumepigwa home and away!

Viva TRUMP! Shithole country wajijue kujisimamia nao wanaweza! tuishi humu; Waliojipata kupiga picha na Kamala wajipange upya kumuona Trump awamu hii foleni ni ndefu.

"TRUMP WILL FIX IT"
Point
 
Ushindi wa Trump, kila mwanaume aliyepevuka atakuwa kaufurahia!

Wanawake ni viongozi wazuri sana lakini siku hizi shetani anawatumia sana kuua Haiba yetu ya kiume tunabakia wanyonge tu na kutii!

Wanawake wakiitawala dunia jamii imekwisha!
Hatukatai kuongoza lakini ni vyema tuwape kwanza elimu ili wanapokuwa kwenye madaraka wasitutweze kisaikolojia!

Angeshinda kamala bongo tungekuwa tumepigwa home and away!

Viva TRUMP! Shithole country wajijue kujisimamia nao wanaweza! tuishi humu; Waliojipata kupiga picha na Kamala wajipange upya kumuona Trump awamu hii foleni ni ndefu.

"TRUMP WILL FIX IT"
Wamemkwepa Kamara baada ya kujifunza kwetu
 
Kwani wananchi wakipiga kura moja kwa moja (popular votes) kuna shida gani?

Au nao ni wezi wa kura tu kama Afrika ndiyo maana hawawaamini wananchi wao kuwa na maamuzi ya mwisho?
Pitia huu uzi, mkuu. Kuna mambo ni muhimu kuyaelewa.

 
Back
Top Bottom