Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Hivi tuseme Marekani ina demokrasia imara ama demokrasia isiyo na uhalisia?

Yaani mamilooni ya wananchi wanapiga kura kumchagua Rais wamtakaye halafu kura zao zinakuwa useless hazitumiki kuamua nani awe Rais bali kura za watu wachache (Electoral Collage) ndizo zinaamua Rais.

Hii haina maana kwamba maamuzi ya wananchi yanapuuzwa?
Watanzania tuna vichwa vigumu balaa. Ila wewe cha kwako ni zaidi
 
Bora huko USA toka 1960 democratic na republican wanabadilishaba kama wale walifanya vibaya wengine wanakuja kusawazisha huku Africa,especially Tz mpaka viongozi na wananchi wote hatujielewi.
Viongozi wetu wangekuwa kama Putin au Xi Jinping wamekomalia lakini unaona matunda,sasa sisi watu wanakomalia matunda zero.
 
How kwamba marekani ni sawa na dunia yote?
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) nafikiri utakuwa unamfahamu, Je, Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa unamfahamu? Kwa sababu Katibu Mkuu hawezi kuwepo bila ya kuwepo kwa Mwenyekiti wake.
Aidha, hivi Ofisi za Makao MaKuu ya Umoja wa Mataifa ziko wapi hasa?
 
Karibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) nafikiri utakuwa unamfahamu, Je, Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa unamfahamu? Kwa sababu Karibu Mkuu hawezi kuwepo bila ya kuwepo kwa Mwenyekiti wake.
Aidha, hivi Ofisi za Makao MaKuu ya Umoja wa Mataifa ziko wapi hasa?
Dunia sio serikali za wanadamu.
 
Trump's victory is not just a victory to America but it's a victory for the whole world... Yes, with democrats deplorable liberal policies we were going to live in more chaotic conditions. So Trump Will surely restore all the lost strong family values that will make our societies strong and great again.

Furthermore, even the world's ailing economy will be ameliorated under his visionary policies.

#Trump2024
Amka kutoka usingizini usijikojolee.
 

  • Donald Trump
    277
    electoral votes
    Republican Party
    71,289,102 votes (51%)


  • Kamala Harris
    224
    electoral votes
    Democratic Party
    66,360,291 votes (47.5%)


  • Jill Stein
    0
    electoral votes
    Green Party
    614,751 votes (0.4%)


  • Robert Kennedy
    0
    electoral votes
    Independent
    594,621 votes (0.4%)

    • Chase Oliver
      0
      electoral votes
      Libertarian Party
      560,154 votes (0.4%)
    • party_anonymous_alt_light.png

      Other candidates
      0
      electoral votes
      313,970 votes (0.2%
 

  • Donald Trump
    277
    electoral votes
    Republican Party
    71,289,102 votes (51%)


  • Kamala Harris
    224
    electoral votes
    Democratic Party
    66,360,291 votes (47.5%)


  • Jill Stein
    0
    electoral votes
    Green Party
    614,751 votes (0.4%)


  • Robert Kennedy
    0
    electoral votes
    Independent
    594,621 votes (0.4%)

    • Chase Oliver
      0
      electoral votes
      Libertarian Party
      560,154 votes (0.4%)
    • party_anonymous_alt_light.png

      Other candidates
      0
      electoral votes
      313,970 votes (0.2%
Achaneni na uchaguzi wa US, geukieni uchaguzi wa Tanzania.
 
Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya Habari

=====

Rais wa zamani Donald Trump kutoka chama cha Republican, ameshinda Uchaguzi wa Marekani.

View attachment 3144969
Chanzo: Spectator Index

Donald Trump ameoa mara tatu, Ivana na Marla Maples, mke wa kwanza na wa pili mtawalia ambao wote ametalikiana nao. Mke wake wa sasa ni Bi Melania.

Bwana Trump ana watoto watoto watano, watatu wa kiume Donald Trump Jr, Eric, Barron na watoto wawili wa kike Ivanka na Tiffany.

Rais huyo wa Zamani wa Marekani alizaliwa Juni 14 mwaka wa 1946, mjini New York, akiwa mtoto wa tano kati ya watoto sita.

Babake Fred alikuwa tajiri aliyemilki majumba na babu zake Trump walikua wahamiaji kutoka Ujerumani.

Mamake Mary alikuwa mzaliwa wa Scotland.


Tangu utotoni, Trump alikuwa mtundu na wazazi wake walimpeleka shule ya msingi iliyofadhiliwa na jeshi mjini New York.

Baadaye alifuzu kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania, kitivo cha elimu ya biashara mwaka wa 1968.

Alifanya kazi katika kampuni ya babake ambaye aliendesha biashara ya kuuza nyumba kwa raia wa kipato cha kadiri, viungani mwa New York.

Hata hivyo Donald Trump alikuwa na ndoto ya kufanya biashara nje ya makaazi ya Queens na Brooklyn.

Aliwekeza katika biashara kubwa ya ujenzi na kuweza kujenga mojawapo ya mijengo ya kifahari zaidi nchini Marekani. Alifanikiwa kutokana na sera ya kiuchumi iliyowekwa na utawala wa Reagan miaka wa 1980.

Yapo mahoteli, viwanja vya mchezo wa gofu, makazi ya kifahari, majumba ya kamari kutoka Carlifonia hadi Mumbai nembo yake ikiwa ni Trump.

Ameandika Riwaya kadhaa kuhusu biashara, huku umaarufu wake uking'aa zaidi katika makala yanayoelezea maisha halisi, "The Apprentice," katika runinga ya NBC. Hata hivyo alitupwa nje ya makala hayo baada ya kutoa kauli zilizowakera raia wa Mexico.
Achana na kuleta historia ya DT hakuna asiejua mapito yake! Ungeandika tu Kashinda Urais inatosha.
Maneno mengi ya nini.
 
Back
Top Bottom