Donald Trump atamshinda Kamala Haris kwa mbali sana Uchaguzi Mkuu Marekani

Donald Trump atamshinda Kamala Haris kwa mbali sana Uchaguzi Mkuu Marekani

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Katika ulimwengu huu wenye ubabe mwingi sana wa kitecholojia na uchumi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu.

Wamarekani wengi watamchagua Donald Trump ikiwa ni pamoja na vijana wasaka ajira, wamarekani wazalendo na kundi kubwa la undecided.

Hawatapendelea tena kuongozwa na mtu myonge kupindukia tena wa kujifungia white house tu na asie na ushawishi wala uthubutu wa kuchangamana na wababe wengine wa kiuchumi duniani, nje na ndani ya white house.🐒

Soma pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
 
Sanaa yani maana dunia kwa Sasa vita inataka mbabe hakuna kuremba yani sijui pole nikupulize utapona ni undava undava kama baba ubaya
 
Umenena vyema,

Huku pia CCYM ituletee mgombea mpya, huyu aliyepo hatoshinda akiwekwa.
 
Katika ulimwengu huu wenye ubabe mwingi sana wa kitecholojia na uchumi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu.

Wamarekani wengi watamchagua Donald Trump ikiwa ni pamoja na vijana wasaka ajira, wamarekani wazalendo na kundi kubwa la undecided.

Hawatapendelea tena kuongozwa na mtu myonge kupindukia tena wa kujifungia white house tu na asie na ushawishi wala uthubutu wa kuchangamana na wababe wengine wa kiuchumi duniani, nje na ndani ya white house.🐒

Soma pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Hujui siasa za huko, ww njoo ongelea hizi za huku za majizi ya kura.
 
Hujui siasa za huko, ww njoo ongelea hizi za huku za majizi ya kura.
unaejua mbona unaeleza makasiriko tu na husemi unachokijua gentleman 🐒
 
Katika ulimwengu huu wenye ubabe mwingi sana wa kitecholojia na uchumi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu.

Wamarekani wengi watamchagua Donald Trump ikiwa ni pamoja na vijana wasaka ajira, wamarekani wazalendo na kundi kubwa la undecided.

Hawatapendelea tena kuongozwa na mtu myonge kupindukia tena wa kujifungia white house tu na asie na ushawishi wala uthubutu wa kuchangamana na wababe wengine wa kiuchumi duniani, nje na ndani ya white house.🐒

Soma pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Sawa mtabiri.......
 
Umenena vyema,

Huku pia CCYM ituletee mgombea mpya, huyu aliyepo hatoshinda akiwekwa.
ni baina ya republican na Democrat gentleman , hayo mengine labda ya nchi nyingine 🐒
 
Katika ulimwengu huu wenye ubabe mwingi sana wa kitecholojia na uchumi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu.

Wamarekani wengi watamchagua Donald Trump ikiwa ni pamoja na vijana wasaka ajira, wamarekani wazalendo na kundi kubwa la undecided.

Hawatapendelea tena kuongozwa na mtu myonge kupindukia tena wa kujifungia white house tu na asie na ushawishi wala uthubutu wa kuchangamana na wababe wengine wa kiuchumi duniani, nje na ndani ya white house.🐒

Soma pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Wamarekani wakinichanganya kumchagua yule bibi, watajuta kama Tanganyika tunavyojuta.
 
Sawa mtabiri.......
ni maoni na mtazamo wangu kulingana na hali halisi ya kuibuka kwa ubabe wa kitecholojia, kijeshi na kiuchumi, nadhani powerful Donald Trump will be re-elected for second term 🐒
 
ni maoni na mtazamo wangu kulingana na hali halisi ya kuibuka kwa ubabe wa kitecholojia, kijeshi na kiuchumi, nadhani powerful Donald Trump will be re-elected for second term 🐒
Sera zake sio rafiki kwa deep state hasa millitary industrial complex

Let's wait n see
 
Kamala haris asubiri, agombee tena uchaguzi ujao. Marekani kwa sasa inahitaji rais mbabe, pale mashariki ya kati na kule ukraine/urusi kunanuka mnyukano. Anahitajika rais wa marekani mbabe kwenda kumaliza mnyukano huo
 
Kamala haris asubiri, agombee tena uchaguzi ujao. Marekani kwa sasa inahitaji rais mbabe, pale mashariki ya kati na kule ukraine/urusi kunanuka mnyukano. Anahitajika rais wa marekani mbabe kwenda kumaliza mnyukano huo
Hapana! Tanganyika tunateseka sana.
Akamtunze mume wake,KAZI hiyo inamtosha na inamfaa,na aliichagua mwenyewe
 
ni maoni na mtazamo wangu kulingana na hali halisi ya kuibuka kwa ubabe wa kitecholojia, kijeshi na kiuchumi, nadhani powerful Donald Trump will be re-elected for second term 🐒
Okay...... tusubiri
 
Sera zake sio rafiki kwa deep state hasa millitary industrial complex

Let's wait n see
deep state nao ni dhaifu sana lakini,
si huwa wanaskiza hata simu binafsi za Rais na makamu wake walau kujua uwezo wao wa kiakili,

waliwezaje kumuachia Joe Biden kugombea muhula wa pili hali ya kua hakua na mental stability ya uongozi tena?

kama hilo liliwashinda hao deep staste wanaweza kua wanajua sera mbovu na nzuri kweli kuhusu hiyo military industry complicity? 🐒
 
sasa gentleman zaid ya mihemko na ghadhabu una jua nini kwa mfano?🤣
Mpe mkeo utajua anajua nini ? Wenzako anamiliki degree ya kufinya ..muulize daimond alipokutana na p diddy mwenye degree ya ubasha
 
Back
Top Bottom